Recent content by Makwachinga

  1. M

    Mahusiano yana mambo mengi sana, miongoni mwake ni kama haya

    Jaribu wasomi wenye kazi zao uone shughuli zao pia!
  2. M

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mita yangu imekuwa na tatizo la kukata umeme pasipo kuwa na sababu yoyote, sehemu nyingine umeme unakuwepo tena mnaotumia line Moja lakini kwangu hakuna. Siku nyingine ukikatika unaporudi kwangu haurudi mpaka baada ya masaa matatu au zaidi. Nimekwenda kulipoti Tanesco Mara mbili, Mara ya kwanza...
  3. M

    Maswali ya Muungano yanayokosa majibu ya kweli kwa vijana

    Kuna mbunge mmoja tu aliyekuwa na uthubutu wa kuhoji mambo ya muungano, Ally Kessy, sijui yupo wapi masikini.
  4. M

    Ujenzi wa Soko kuu Mwanza

    Hata soko la Tarime tangu limevunjwa hakuna kinachoendelea. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Huyu mwanamke simwelewi

    Itakuwa huwajui Wanyantuzu kaka. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Huyu mwanamke simwelewi

    Kaoe Ntuzu Mzee baba Kuna watoto wa kinyantuzu wametulia Sana, vinginevyo Kama huna ng'ombe. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    RC Makonda aagiza Kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kutopewa mradi wowote ndani ya Dar

    Hawa Nyanza walifanya kazi nzuri Sana pale Dodoma wakajenga jina, baada ya hapo miradi mingine yote hovyo! Mfano barabara ya Bunda-Kisorya imewashinda kabisa!
  8. M

    Nafsi inaniuma kwa kushindwa kumssidia asiibiwe

    Huyu jamaa ni mwoga hakuna mfano!
  9. M

    Mume anahitajika

    Mi Nina 40, huwezi kunifikiria?
  10. M

    Huyu housegirl wangu anayaweza mambo zaidi ya wife

    Mkuu nimependa hiyo sentensi " mabeki tatu watamu ila hawatakuacha salama" umeongea ukweli.
Back
Top Bottom