Wenye majina ya Ndossy hawatokei Kilimanjaro,wenye majina hayo ni wenyeji wa Mkoa wa Arusha katika wilaya ya Meru maarufu kama Wameru,ndugu zao ni kina Kaaya,Nassari,Sumari,Urio,Ayo,Nanyaro,Sioi na wengineo kwa hiyo kwa jna lake tu huyu Dada atakua ni Mmeru tu wala si mwenyeji wa Kilemakyaro.
Nazi haiwezi kushindana na jiwe hata siku moja.
Diamond na WCB yake bado ni wadogo sana katika Industry ya Media.
Wana mengi ya kujifunza badala ya kutaka kuanza kushindana na waliomtangulia.
Siku zote aliyekutangulia amekutangulia tuu,wajipe muda kujifunza nchezo.
Wakileta kujua...
Nyie mnaosema hayo mambo ya PI hayaruhusiwi hapa kwetu mbona kama mnaongopa?
Nakumbuka IGP mstaafu Harun Mahundi alikuwa na kampuni yake ya upelelezi pale jengo THB zamani jirani na NBC posta ground,ina maana alifungua kampuni kinyume na sheria?
Na pia Inspirational speaker Bwana Chris Mauki...
Daah! baadhi ya watanzania mpaka mnaboa,yaani shughuli yako unataka mwenzako aivalie kibwebwe?
Hebu acheni ubwege wa kulia lia mambo ya kijinga.
Mtafanya hao wakenya wawadharau sana kwani ujinga kama huu ulioandikwa hapa,mtazidi kupata tabu tu.
Vitumbua nayo ni biashara kama biashara zingine, tatizo lako unaitazama kwa jicho la dharau ndio maana wengi wanabaki walipo,itakuwaje hapo baadae mtaji wako utakuwa mkubwa na unataka kuiendesha biashara yako kisasa ( Kwa mf:Omar Ndama Bites and Snacks) jambo linalohitaji ufuate taratibu za...
Watakuelewa,ni juzi tu hapa wamewasamehe wafanyabiashara kibao ambao madeni yao yalionekana hayalipiki,So hata wewe ukienda ukawaelezea tatizo ni nini watakuelewa tu,kwani wamekuwa wakilaumiwa sana siku za hivi karibuni ya kuwa wanawabambikizia watu madai makubwa ya kodi na wao wanataka...
Huyo anaonekana Myahudi mweusi mwnye misimamo mikali,hasikii wala haambiwi kitu na hataki kuelewa kingine zaidi ya kile alichoaminishwa,kwa hiyo ndugu huo ukombozi unaotaka akombolewe sijui ni ukombozi wa aina gani utamkomboa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.