Kama ndo unaanza,unapewa Tin bure,kisha wanakuacha free miezi 3,
baada ya hapo ndo unaenda wanakukadiria,
usiende umevaa sijui wax la bei mbaya na usafiri wa nguvu,vaa katambuga zako vizuri kama enzi za mwalimu,nguo ziwe za upaukwe na ukifiga body language yako iwe ya kimasikini masikini sana,
watakukadiria hata elfu hamsini kwa robo mwaka,
kama hata hiyo inakushinda basi urudi ulime,
pia pengine ulikosea kujaza fomu panapokuuliza unatarajia kupata kiasi gani kwa mwaka,kama ulijaza above milioni 4,it has eaten to you...(imekula kwako)