Recent content by makoye sr

  1. M

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Ninaposoma hii story natamani miaka irudi nyuma ila ni too late, vijana fanya unachoweza kufanya ujanani mwako umri ukisonga ndo imetoka haiwezekani kurudisha miaka nyuma na dunia inaenda kasi sana
  2. M

    Nalilia Taifa langu nazililia idara za Usalama wa Taifa, hakuna anayeona kesho ya Tanzania

    Pk amemalizana na congo kwenye malengo yake ya kujitanua, nahisi next itakuwa Tz ni maoni yangu kuhusiana na hii mada
  3. M

    Haya ndio majibu yangu mazito na yenye hoja nzito kujibu hotuba ya Askofu Gwajima iliyotolewa Agosti 25, 2025 Usiku

    Hongera, naunga mkono hoja, askofu ameshakataliwa na Mungu kutokana na kiburi kutumia madhabahu kutukana watu ni kosa mbele za Mungu, kula kondoo wa bwana ni dhambi kubwa sana (mkono wa baunsa) nk tuache Mungu amuadhibu akitubu Mungu atamsamehe na atakuwa na adabu na mambo yatakuwa mazuri kwake
  4. M

    Ukweli mchungu: Maombi ya kujionesha, hata kama ni ya siku tisa (Novena), Mungu hayasikii

    Ngoja mchungaji setfree aje akufafanulie zaidi, usitoke
  5. M

    Ukweli mchungu: Maombi ya kujionesha, hata kama ni ya siku tisa (Novena), Mungu hayasikii

    Mtoa mada yuko sahihi asilimia zote, maombi yakujitangaza Kwa Mungu hayajibiwi kwa mujibu wa biblia
  6. M

    GE2025 Baada ya Rais Samia kushindwa kuongoza nchi, kanda ya ziwa tutaenda na Luhaga Mpina 2025 ili akakate kamba za mafisadi

    Labda anaongelea kanda ya ziwa rukwa, lakini kama ni kanda ya ziwa Victoria Hana chake huyo mchoma nyavu na vifaranga
  7. M

    Mwanaume kama haujui kupika kwenye ndoa utateseka sana

    Wewe kama ulibahatisha mshukuru Mungu wanawake hawafanani tabia na mafarakano kwenye ndoa hayaepukiki
  8. M

    GE2025 Eric Shigongo: Buchosa tulikuwa tunasafiri masaa tisa hadi Mwanza, sina pesa za kugawa mnihukumu kwa matendo yangu

    Nasikia wajumbe wamempa kura za kishindo mpaka Tizeba presha ikapanda ikapelekea kulazwa bugando
  9. M

    Challenge ya kusave pesa UTT

    Fainali ni uzeeni, hongera sana Kwa kuwekeza u
  10. M

    Huyu Tony Kapola amekuwaje?

    Uko sahihi ila watu wana haki ya kuwakosoa na kuwasema hao matapeli wa kiimani madam hawavunji sheria za nchi
  11. M

    GE2025 Makosa ya kiuongozi aliyoyafanya Rais Samia na kujikuta anapoteza uungwaji mkono wa wananchi kwa wingi na kasi ya kutisha

    7. Samia amerekebisha kikokotoo kwa wastaafu kutoka asilimia 33 mpaka asilimia 40. Oktoba tunatiki
Back
Top Bottom