TAG watakuwa wamemshtukia huyo mchungaji pengine wameona ana viashiria vya kuuza mafuta maji ya upako nk Tag wako makini sana hata huku kwetu kuna mmoja wamemwondoa kanisani kwa tuhuma kama hizo, Cha ajabu amesepa na washirika wote akaanzisha kanisa pembeni
Kuna msikiti na madrasa vinajengwa jirani kabisa na nyumbani kwangu mimi ni mkristo, je wakristo wenzangu wenye uzoefu na mambo hayo nauliza tu kuna shida yoyote kuishi jirani na msikiti?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.