Recent content by makoye sr

  1. M

    JamiiForums Tanzania NJombe: Mchungaji wa kanisa la Tanzania Assemblies of God (T.A.G) adaiwa kutotimiza vigezo vya huduma, kanisa lafungwa

    TAG watakuwa wamemshtukia huyo mchungaji pengine wameona ana viashiria vya kuuza mafuta maji ya upako nk Tag wako makini sana hata huku kwetu kuna mmoja wamemwondoa kanisani kwa tuhuma kama hizo, Cha ajabu amesepa na washirika wote akaanzisha kanisa pembeni
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?

    Paul christian makonda
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mmemuona Freeman Mbowe kwenye ‘suti sare’ na Mawaziri wa CCM?

    Mbowe ni mzalendo sana, maendeleo hayana chama rip magu
  4. M

    JamiiForums Tanzania Watu Wenye Ushawishi mkubwa katika Historia

    Martin Luther alikuwa mjeruman na Martin Luther king ni mmarekani mweusi hakuna mwafrika hapo
  5. M

    JamiiForums Tanzania Watu Wenye Ushawishi mkubwa katika Historia

    Kati ya hao wote hakuna mwafrika hata mmoja!
  6. M

    JamiiForums Tanzania Where is Kikwete (Kikwete yuko wapi?)

    Mwacheni Rais mstaafu apumuzike
  7. M

    JamiiForums Tanzania Brian Mundubile: Zambia sio Tanzania. Adai kuwa mbinu za kuiba kura zinazotumika Tanzania zinatumiwa Zambia kwenye Taifa la Kikristo

    Sikujua kuwa Zambia waislam wachache hivyo, waarabu walishindwaje kueneza dini yao huko?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Namtafuta baba yangu Gervas Kalilo

    Mungu akusaidie umpate baba yako
  9. M

    JamiiForums Tanzania Brian Mundubile: Zambia sio Tanzania. Adai kuwa mbinu za kuiba kura zinazotumika Tanzania zinatumiwa Zambia kwenye Taifa la Kikristo

    Mfa maji hakosi kutapatapa ameona anaelekea kushindwa anasingizia Tanzania
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kuishi jirani na msikiti na madrasa kwa mkristo je kuna athari yoyote?

    Nimeshafikiria kuhama tatizo uwezo wa kujenga nyumba nyingine kwa sasa Sina na kupanga siwezi, sijui itakuwaje wakishaanza ibada zao na madrasa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kuishi jirani na msikiti na madrasa kwa mkristo je kuna athari yoyote?

    Kwa nini nikimbie fafanua kidogo
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kuishi jirani na msikiti na madrasa kwa mkristo je kuna athari yoyote?

    Kuna msikiti na madrasa vinajengwa jirani kabisa na nyumbani kwangu mimi ni mkristo, je wakristo wenzangu wenye uzoefu na mambo hayo nauliza tu kuna shida yoyote kuishi jirani na msikiti?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana Kitanzania kumvisha pete Mtoto wa Rais wa Kenya,Charlene Ruto

    Mwanamke anaonekana mkubwa kuliko kijana wetu, any way umri ni namba tu
Back
Top Bottom