Ninaposoma hii story natamani miaka irudi nyuma ila ni too late, vijana fanya unachoweza kufanya ujanani mwako umri ukisonga ndo imetoka haiwezekani kurudisha miaka nyuma na dunia inaenda kasi sana
Hongera, naunga mkono hoja, askofu ameshakataliwa na Mungu kutokana na kiburi kutumia madhabahu kutukana watu ni kosa mbele za Mungu, kula kondoo wa bwana ni dhambi kubwa sana (mkono wa baunsa) nk tuache Mungu amuadhibu akitubu Mungu atamsamehe na atakuwa na adabu na mambo yatakuwa mazuri kwake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.