Recent content by makoye sr

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kuishi jirani na msikiti na madrasa kwa mkristo je kuna athari yoyote?

    Kwa nini nikimbie fafanua kidogo
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kuishi jirani na msikiti na madrasa kwa mkristo je kuna athari yoyote?

    Kuna msikiti na madrasa vinajengwa jirani kabisa na nyumbani kwangu mimi ni mkristo, je wakristo wenzangu wenye uzoefu na mambo hayo nauliza tu kuna shida yoyote kuishi jirani na msikiti?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana Kitanzania kumvisha pete Mtoto wa Rais wa Kenya,Charlene Ruto

    Mwanamke anaonekana mkubwa kuliko kijana wetu, any way umri ni namba tu
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza mimi binafsi kwa watu, ndicho huyu mzee anasema

    Mimi nikiwa na miaka 40 nilioa binti mdogo wa miaka 23, miaka ishirini baadae tuko vizuri na life inasonga vizuri tu, usikate tamaa tafuta binti uoe achana na single mothers
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ukitaka hela za haraka fungua kanisa kuna majinga mengi; kinachoendelea Kawe kwa Mwamposa kinasikitisha

    Pk yuko Smart sana alizuia mapema sana huu utapeli wa kiimani hapa kwetu ni shida sana watu wanatapeliwa mchana kweupepe
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mwamba Waziri Mkuu wa Israel akiongea na Volodomyr Zelensiky huko Washington!!

    Netanyahu, mwamba kweli kweli wa mashariki ya kati
  7. M

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kuhuzunisha ya mhubiri mlevi (Deborah)

    Sahihi kabisa,ila hata makanisa ya kizamani wameanza kuwaiga makanisa binafsi, mwenye pesa atapewa kipaumbele asiye nazo akafie mbele huko
  8. M

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kuhuzunisha ya mhubiri mlevi (Deborah)

    Wachungaji wa kizazi hiki wanaweka pesa mbele sana, mshirika akikosa pesa ya kutoa kanisani wanamuona kama takataka tu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tahadhari Wanunuaji wa Hisa, Hati fungani na Uwekezaji DSE!

    Asante sana kwa taarifa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Makonda anakubalika sana kwa wananchi wengi, hata mimi namkubali sana, ikitokea ameteuliwa kugombea uraisi mapema sana naenda kumpigia kura
  11. M

    JamiiForums Tanzania Majeshi ya Israel yaendelea kuwaangamiza magaidi wa Hezbollah huko Lebanon

    Wapigwe sana hao magaidi pamoja na mfadhili wao Iran pengine Dunia itapumua kidogo
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tukishamfukuzia huyu Kizimkazi; Je, ajaye naye tumfukuzie Ikungi?

    Naunga mkono hoja, tumvumilie mama amalize awamu yake 2030 siyo mbali tutamchagua mwingine maisha yaendelee
  13. M

    JamiiForums Tanzania MISS U MREMBO SERAN

    Huyu seran anapendwa na wengi sana hapa jf hivi nini Siri yake
  14. M

    JamiiForums Tanzania Watoto wa 2000 kaeni mbali hapa

    Anaitwa sinta amepotea sana sijui yuko wapi siku hizi
Back
Top Bottom