Mbona unawashambulia wenzako wanaochanganya mambo ya taaluma na siasa!!? Sidhani kama kuna swala la kisiasa kwenye uzi huu!!
#Wewe utakua ndugu wa malaika mkuu
Wakati mwingine imetupasa kufikiria mengi zaidi, mabepari mara zote wamekua wakitukandamiza katika nyanja nyingi sana, wanafanikisha hili kwa kiasi kikubwa kwa kututumia sisi wenyewe!!
Ikiwa mkataba ulivunjwa kuna sababu za kuuvunja, ikiwa usingevunjwa na barabara zikaendelea kutengenezwa...
Mwanzoni alipata nyaraka kuhusu hili sakata mapema sana na akamwaga ukweli tukajua, kwani saivi nini kimetokea hadi asijue!!? Ama na yeye wazungu wamemtema tena!!?
Uchepukaji umeshakua kitu cha kawaida siku hizi, sio wanaume sio wanawake, lkn kuna msemo mtaani,,,wake za watu wamekua cheap zaidi ya wasichana.
Mkuu angalia hata wewe unawez a kuwa unapigiwa kwa style nyingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.