Kuja kutema nyongo huku kabla hujafanya jitihada za kupata majawabu hukohuko naiona kama kutengeneza lawama zisizokuwepo. Pengine kuna issue mahususi alielekezwa aitekeleze, Ila yeye ili ionekane kanyanyaswa anakimbilia JF. Tungeambiwa na jitihada za kuipata/kuidai haki take ziliishia wapi...
Sijakutana nazo/nayo. Na popote ninapokutana na kero katika huduma za serikali najitahidi kupata suluhu palepale na sio kuja kutatulia tatizo Jamiiforum.
Idara ile naamini ni kubwa yenye viongozi. Malalamiko haya wamefikishiwa yakiwa bado 'hot' na wakashindwa kuyatatua? Nahofia kusiwe na kukuza mambo kusiko sahihi
Why should Makonda be kicked out? Hujatoa hata sababu moja yenye uthibitisho! Namchukia Makonda as a person lakini natamani nipate his evil deeds with concretness in it ili nisimame boldly kumsema atoke! Nyoote hamnipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.