Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,842
- 31,073
Wewe unadhani kama angekuwa hajasema, mahakama isingeamua kwa "hasira" kiasi kile kuwapiga chini wakurugenzi wote kusimamia chaguzi zote nchiniNimekuwa nikisikia mara kwa mara eti Rais Magufuli alisema kwamba "...... mshahara nikulipe, gari nikupe....... halafu utangaze mpinzani kashinda" - ujumbe huu akiwa amewapa Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa na Miji ambao ni wasimamizi wa uchaguzi. Mimi siamini kama Rais angeweza kutoa tamko kama hili. Lakini kama alilitoa, ilikuwa lini na wapi? Kama ni kweli tuwekeeni ka-clip!
Pia kama angekuwa hajatamka maneno hayo tungewaona kurugenzi ya mawasiliano ya Ikulu chap chap inakuja na kukanusha huo "uongo"