Capitano
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 1,959
- 1,633
Sawa kabisa kwenye mkutano wa kujadili tatizo la malaria, huwezi kumualika mbu naye kuwa mjumbeJamii forum ni sehemu muhimu ya kutolea kero za kijamii ambazo huwa zimeshindikana, huko uhamiaji huwezi kusikilizwa hata ulalamike vipi ndiyo maana mleta mada akaamua kuja JF akiamini hata viongozi wa Uhamiaji watapita humu na kuona malalamiko yote kisha kuyafanyia kazi.