Paulo Makontena
hahahaa hii nchi majambazi yamejaa hadi uvunguni mwakitanda chake.Viti vya wanafunzi hivi acha tuView attachment 853403View attachment 853404View attachment 853405View attachment 853406View attachment 853407
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpango simpendi kabisa, very soon ataondolewa kwenye hiyo nafasi, kapwaya sana, hana welediDr. Mpango Ni Mzee wa Sheria
Sheria haisemi hivyo
Mara ya Mwisho yakikosa wateja yanagawiwa Kwa kadri atakavyoona inafaa
Tunaweza kugawa Kwa Shule kadhaa Kama vile Chatto Secondary School Na kwingineko
Yes,na leo nimesikia wamefanya hivyo,wameuza 'bidhaa 10' sasa sijajua ni kwa bei gani.hizo bidhaa zikiuzwa zinafka zaid ya hiyo ela! tatizo wanauza kwa jikontena zima! wangeuza bidhaa tu zilizomo
Vyandarua kwa ajili ya akina mama na watoto.Asilimia kubwa in vifaa vya shule. Asilimia ndogo ni nini? Hiyo ndo tunaitaka
Moja ya hizo bidhaa 10 Ni kijikapeti Cha kufutia miguu kabla ya kuingia ndaniYes,na leo nimesikia wamefanya hivyo,wameuza 'bidhaa 10' sasa sijajua ni kwa bei gani.
Endelea kuota tu,mtetezi wa wanyonge hewaPole Sana mhe Magufuli hata kama unamoyo gani wa kuitakasa nchi,bila CCM kuondoka kamwe hautaweza kwa kuwa CCM ndiyo kichaka cha manyang'au wakuitafuna nchi.
Mnada wa mali zilizomo ndani ya makontena 20 ya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda unaendelea na tayari wateja wameshakagua bidhaa na wanashindana kununua
Asilimia kubwa ya bidhaa zilizomo kwenye makontena hayo ni samani za ofisini kama vile viti, meza na makabati
Itakumbukwa kuwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango aliagiza makontena hayo kupigwa mnada licha ya RC Makonda kutoa vitisho kuwa atakayenunua vitu vilivyopo kwenye makontena hayo atapata laana kali
Mnada wa Makontena hayo unakuja ikiwa ni baada ya RC Makonda kushindwa kulipia kodi ya Tsh. Bilioni 1.2