Wizara ya Afya, Bohari ya Dawa (MSD) na mamlaka zinazohusika mnaweza kutuambia shida ipo wapi mpaka kondom zimeadimika mitaani?
Kila duka la dawa ukiingia unaambiwa kondom zimeisha, ni mwezi wa pili huu sasa kumekuwa na hii changamoto. Mnataka na sisi watumia kondom tuombe kikao na raisi ndio mtukumbuke?
Matumizi ya plastic yamezuiwaWizara ya Afya, Bohari ya Dawa (MSD) na mamlaka zinazohusika mnaweza kutuambia shida ipo wapi mpaka kondom zimeadimika mitaani?
Kila duka la dawa ukiingia unaambiwa kondom zimeisha, ni mwezi wa pili huu sasa kumekuwa na hii changamoto. Mnataka na sisi watumia kondom tuombe kikao na raisi ndio mtukumbuke?
Teleza Yupo Kigoma 🤣😂😂Teleza tu, kama unagopa moto piga nyeto, tuko kwenye vita na mabeberu, hivyo hawaleti kondom.
DuhWizara ya Afya, Bohari ya Dawa (MSD) na mamlaka zinazohusika mnaweza kutuambia shida ipo wapi mpaka kondom zimeadimika mitaani?
Kila duka la dawa ukiingia unaambiwa kondom zimeisha, ni mwezi wa pili huu sasa kumekuwa na hii changamoto. Mnataka na sisi watumia kondom tuombe kikao na raisi ndio mtukumbuke?