Mbinu za kivita zinavyompaisha Membe

Mbinu za kivita zinavyompaisha Membe

Kwani dhambi akionyesha nia ya kugombea? Katiba ya CCM inakataza? Jiwe apewe changamoto hakuna namna
Sio dhambi na katiba haijakataza. Sema ni Mapokeo flani yanayo dumishwa na chama kuwa mhula wa pili Raisi alie hudumu mhula wa kwanza apite bila kupingwa ndani ya chama
 
Hizi mbinu za kivita kwanini hakutumia 2015? Heading zenu zinawafanya hata wanaompenda kuanza kumpuuza!
Nadhani kajifunza kupitia Experience kwani 2015 alijichanganya akatangzaza Mapema jambo lililo pelekea kuonywa na kamati ya maadili
 
Ugonvi wa rostam na membe naona ni swala la muda tu. Wale jamaa wanatuzuga ila lao nimoja tu. Nimemsikiliza rostam sio kama anamponda membe wala kumkosea heshima ila naona kama anajaribu kutukumbusha kwamba kumbe kumpinga rais aliyepo madalakani kwa kuchukua form inawezekana.
Kabisa naona huenda ni lle mbinu ya kumhadaa adui asijue mtandao wako (deception technique). Mwisho Rostam akaungana na Membe
 
Nadhani kajifunza kupitia Experience kwani 2015 alijichanganya akatangzaza Mapema jambo lililo pelekea kuonywa na kamati ya maadili
Mkuu influence ya Membe inakuja baada ya wtz kuchoka na maisha yaliyosababishwa na alinacha za awamu ya 5! Otherwise, as far as anatoka CCM wote ni walewale.
 
Du
Jana Musiba katitukana Chama cha Mapinduzi chini ya Uenyekiti wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Taifa (Mstaafu), Mzee Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.
Hii ni kwa sababu hakuna anayeamini kuwa 'Wavunaji' kutoka nje wanaletwa na Waziri yeyote wa Serikali.
'Wavunaji' hao wanaokuja kwa mwamvuli wa jina la 'Wawejezaji' huletwa na Sera za Chama kilicho madarakani, CCM!
Vinginevyo itabidi tujiulize kuwa "Kampuni toka Kenya iliyokuja kwa mbwembwe kununua korosho, na ikakusanya Mawaziri kadhaa wakati wa kutiliana sahihi kwenye makubaliano", ililetwa na Waziri yupi wa Serikali ya awamu ya tano?
Swala la #Koroshow nalo kama series ya kihindi
 
Mkuu influence ya Membe inakuja baada ya wtz kuchoka na maisha yaliyosababishwa na alinacha za awamu ya 5! Otherwise, as far as anatoka CCM wote ni walewale.
That is true. Na kwa bahati mbaya zaidi, Membe Hana cha kupoteza. Nchi imeharibiwa sana na awamu hii, watu hawana furaha
 
Amna kitu membe ameoangwa tu ili kutambua nani mamluki ndani ya chama na kuwaadaa wengine nje ya boksi hakuna kitu hata yeye anajua atofanyikiwa membe yupo mchezoni
 
Homework like piece of work. Umenikumbusha mambo ya shule, tulivyohusianisha theories and what is on ground. Umefanya vyema japo sijui kama uko sahihi
 
Back
Top Bottom