Recent content by makonko

  1. makonko

    Ofisi za TCU Dar zinapatikana wapi?

    Habari ya Leo wana jamii forums wenzangu, Naomba kufahamishwa zilipo ofisi za TCU dar es salaam. Asante
  2. makonko

    Uzi wa vyakula tu

    Mzee baba...bornbush kitambo hiyo mate yamenitoka
  3. makonko

    Chanika ni kama unaenda mkoa mwingine

    Unamaanisha kibaha ipi?? Maana kutoka mbezi mpaka kibaha milemoja ni sh 700 tu, picha ya ndege 1200 sasa ww unamanisha ipi
  4. makonko

    Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

    Unasema tusiogee chooni wakati wengine choo na bafu ni humohumo hapo inakuwaje
  5. makonko

    Kipindi cha Skonga ni taswira ya Elimu yetu ilivyo

    Sawa kabisa watoto wanakalilishwa tuu vitu vya kijinga mitaala mibovu haijengi uelewa, useless curricullum
  6. makonko

    Nawezaje kujiondoa kwenye huduma hii ili nisiendelee kukatwa pesa zangu?

    Aaah mzee wa nyamwage... unatamba mndengeleko
  7. makonko

    Wakuu mniombee nafanyiwa upasuaji kesho

    Mwenyezi Mungu akutilie wepesi.
  8. makonko

    TRC yatolea ufanunuzi kuzimika kwa treni ya SGR Julai 30, 2024 katikati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete

    Mpaka saivi Kadogosa bado yupo ofisini?? Kama ndiyo anatakiwa kujiuzuru haraka sana.
  9. makonko

    Wale ambao wana stress ya umri kwenda huku hawana chochote, tukutane hapa

    Watu kama nyie ndo mnatutia stress zaidi
  10. makonko

    DOKEZO Diwani Athuman kuondolewa TISS mwishoni mwa 2022. Mikutano ya Vyama vya Siasa kuruhusiwa

    Aliyepost hii thread ni Diwani Athuman mwenyewe
Back
Top Bottom