Shida ya Ali Kiba ni kusema kile kilichoandikwa kwa mujibu wa imani ya UISLAM??
UISLAM mafundisho yake yapo wazi kuwa kila mtu huzaliwa akiwa Muislam na NDIO maana hatuwapeleki watoto kwa masheikh misikitini wawape dini....kwa sababu kila tunazaliwa tukiwa waislam tayari inabaki kusoma muongozo...
Brand sio Hoja....issue kubwa watanzania wenzangu tunapenda unafiki eti mtu afiche imani yake... Yaani dini hususani UISLAM uwe ni msikitini na usireflect maisha ya mtu na muhusika pia asitaje hadharani.
1. Wakristo wangapi wenye brand na wanapanda majukwaani ni misalaba shingoni?? Je imani ya...
Wakristo sio wanafiki wanakubali bila kelele??
Kasome kwanza lengo la yesu duniani ni lipi...
Mat 10:34-35, Luka 14:26, Luka 12:51
Kisha uje hapa unikumbushe Gwajima alipo kamatwa waumini wake walikaa kimya??
1. Hakuna atakaye andamana eti mkristo kasema alizaliwa akiwa mkristo... Bali tutamuuliza. Je ubatizo ni kwa ajili GANI??
2. Kwa mafundisho ya Uislamu kila mtu anayezaliwa huzaliwa akiwa ni Muislamu ndio maana Waislamu hawawapeleki watoto wao Misikitini kuwabatiza, maana ukishambatiza tu tayari...
Nikwamue kwenye tuta jamani...
Hapa kuna ndugu yangu, mtoto wake anayesoma darasa la saba kabakwa na kijana wa jirani yake na kumrubuni msichana kisha wakampeleka kwao.
Baba mzazi wa msichana amejitahidi kuripoti polisi bila msaada. Mbaya zaidi walipoona baba msichana anafatilia polisi...
Jamani naomba msaada nimepeleka mashitaka yangu kwa mkurugenzi juu ya uonevu na manyanyaso lakn badala yake nikahamishwa kituo cha kazi. Mkurugenzi amebadilishwa ila na huyu mwingine nimempelekea barua ya nini manyanyaso ya sehemu ya kazi bado hajanijibu mwezi sasa.what next step should i opt?
Mimi mwalimu was sekondari katika Halmashaur ya chalinze natafuta MTU wa kubadilishana nae kituo ktk Manispaa ya Arusha au Moshi....
Kuna jamaa alinipigia kipindi flan nimepotesa simu yake....
Nitafute kwa namba : 0763227257
mimi ni mwalimu, tarehe 16/03/2013 tulipata msaada wa fedha za maji shuleni kwetu toka BOT pesa mkuu wa shule akapiga. kwa kuwa alijiwekea utaratibu wa kutowrka wazi mapato na matumizi walimu tulihoji tukaishiwa kutishiwa. tulikaa kikao cha walimu wote tukaandika madai yetu tukampelekea...
Biblia inataja majini pia ila pasipotaja asili yake.
mfano...
Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao ( mambo ya walawi 17:7)
biblia inaonesha majini wanao uwezo wa kufanya uasharati na watu.
haijajibu swali la je majini wanamaumbo kama ya...
kiwanja ni kikubwa kina fence ya ukuta uliojengwa kwa Tofari pia kina nyumba ya vyumba viwili imekamilika kwa mtu kuishi na sehemu kubwa ya kujenga.
Tuwasiliane kwa simu namba 0764423402
KARIBUNI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.