Recent content by makkyson

  1. makkyson

    Nataka kuanza kunywa pombe, naanzaje?

    Anzia hapo hapo ulipo....
  2. makkyson

    Mlima Kilimanjaro unawaka tena moto usiku huu ikiwa ni mara ya tatu kwa mwezi Oktoba 2022

    Na moto n mkubwa sana mana unaonekana hata ukiwa KIA.
  3. makkyson

    Kwanini gypsum inachanika baada ya kufungwa?

    Habari,,, naomba msaada wakujua kwanini gypsum inachanika baada ya kufungwa.? kwa mafundi ambao wanajua naomben msaada wa mawazo
  4. makkyson

    Kwanini gypsum inapasuka?

    Wadau naomba kuuliza kuhusu gypsum kwanini inapasuka na haijachukua muda tangia imewekwa?
  5. makkyson

    Biashara ya mchele

    Habari wana jamvi.... Naomba kuuliza au mwenye ujuzi wa biashara ya mchele .. LOCATION MOSHI
  6. makkyson

    Je, Automatic voltage regulator, ni inverter au la?

    Asante sana mkuu nimekuelewa kabisa
  7. makkyson

    Je, Automatic voltage regulator, ni inverter au la?

    kwahiyo hii ni kitu automatic voltage regulator ni stabilizer....?
  8. makkyson

    Je, Automatic voltage regulator, ni inverter au la?

    Joseverest asante but ungetumia swahili language ingekuwa nivizuri sana
  9. makkyson

    Je, Automatic voltage regulator, ni inverter au la?

    Habari wana jamvi naomba kufahamu kwa mtu mwnye uwelewa na mambo ya ufundi/umeme hiv hiki kifaa ni inverter au la? Automatic voltage regulator
Back
Top Bottom