Nilimpelekea anunue akajaribu mimi niko nje namngojea kumbe yeye kaenda kuuza nalo sura ikabidi niingie ndani namkuta anatangaza habari nikamwambia koti niondoke
Hizi gari hazifanani kabisa moja ML na nyingine GL hata ukiangalia taa za nyuma hazifanani moja zipo taa pembeni zaidi nyigine unaziona vizuri halafu ina taa nyigine kwa chini angalia na hicho kibampa cha chini kabisa havifanani
Wao ndio wanajua siri zako kuliko wewe hushangai uko peke yako chumbani una SMG yako unataka kumuuzia mtu umeiweka kwenye begi unatoka Mwanza unakuja Dar umeshaongea na mteja vizuri kwa njia ya simu unakuja kukamatiwa Ubungo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.