Hlo nakuunga mkono ndugu yangu ni shida yan,nlishangazwa sana juz nlpta maeneo ya wanapobet watu kbao tena weng vjana,nkaulza vp hapo kuna nn?nkaambiwa wanabet wanasubr matokeo yan kuanzia asubuh hadi ucku,aiseee ndyo wasiibe kwa style hyo ya kukaa tu wanawaza kupata hela ya rahc bla kuifanyia...
Kuna jamaa altoa kwa atm ingne hela haikutoka ila rct ikatoka kuwa hela imetoka,alilinda atm saa nzma asubr ztoke lakn hazkutoka!kaenda crdb wamemuambia mpaka baada ya cku 45 kwel???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.