Recent content by makishu

  1. M

    Tigo ina shida gani jamani?

    Yan tangu mchana aiseeeeee,wanataka kuvunja ndoa zetu hawa watu kwa kwel!hawapo serious kabsa
  2. M

    Baada ya mashambulizi: Tumerejea hewani, Tupo imara zaidi!

    Aiseeeee kwel mnawaumiza kichwa sana,jf 4 life meeeeen!!!!!
  3. M

    Fundi inverter (converter) ya 'solar'

    Ni pm nkupe no mkuu
  4. M

    Hivi uamuzi wa kuoa unakujaje jamani?

    Umeongea aiseee!c kila ndoa ina misukosuko,ukiipata utaipata!
  5. M

    Katika wale Majambazi waliodakwa, mmoja katoka kuvisha Pete ya uchumba

    Hlo nakuunga mkono ndugu yangu ni shida yan,nlishangazwa sana juz nlpta maeneo ya wanapobet watu kbao tena weng vjana,nkaulza vp hapo kuna nn?nkaambiwa wanabet wanasubr matokeo yan kuanzia asubuh hadi ucku,aiseee ndyo wasiibe kwa style hyo ya kukaa tu wanawaza kupata hela ya rahc bla kuifanyia...
  6. M

    Mjue Bikira wa Kisukuma, kijana mhangaikaji mjini hapa

    Hahahahahahahaha hatari
  7. M

    Najuta kuwa na Akaunti CRDB

    Kuna jamaa altoa kwa atm ingne hela haikutoka ila rct ikatoka kuwa hela imetoka,alilinda atm saa nzma asubr ztoke lakn hazkutoka!kaenda crdb wamemuambia mpaka baada ya cku 45 kwel???
  8. M

    Swali kwa wana ndoa tu

    Daaaaah
  9. M

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Ila amecheza hatar kila pembe ana mtu kudadek yan anamonotor kila ktu aiseee hauchomok,ila alkamatwa vbaya na kina lee gangmo n saongmo
  10. M

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Giant kiboko aiseee jo pilyeon mzee katili kulko lol
  11. M

    SAFIRI KWENDA J'BURG & KURUDI DAR kwa 500,000/= (FASTJET)

    Sasa hv ni sh ngap dar to joburg?
Back
Top Bottom