Mjue Bikira wa Kisukuma, kijana mhangaikaji mjini hapa

C.T.U

JF-Expert Member
Jun 1, 2011
5,070
3,718
Hii itakuwa ni series ya kila jumapili tutakuwa kila wiki tunatoa vijana wa kitanzania waliofanikiwa aidha kibiashara, au kwa kazi wanazofanya. Lengo ni kuwa support, kujua story zao wameanza anzaje ili yule, mimi, na wewe tuweze kuiga mifano toka kwao.

Kwa leo tunaanza na huyu jamaa Anayeitwa Giovani maarufu kwa jina la BIKIRA WA KISUKUMA.

Kijana huyu ni mfano wa kuigwa kwani aliona opportunity ya kimaisha kwenye simu yake ya mkononi. YES smartphone.

Kupitia MALAKI ya followers wake kupitia mtandao wa INSTAGRAM kijana huyu amekuwa akitoa elimu ya ujasiliamali jambo ambalo limekuwa ni mwanga kwa vijana wengi.

Kijana huyu kuthibitisha kuwa yeye ni mjasiliamali ameanzisha sehemu yake ya kujivinjati inaitwa THE PARLIAMENT ambapo sasa hivi ni habari ya mjini. Vile vile jamaa huyu ni mtangazaji wa E FM kipindi anachoshirikiana na LEGEND wa utangazaji nchini GARDER G.

Haya ndio machache ya BIKIRA wa kisukuma mengine ongezea wewe

maxresdefault.jpg

bikira%2Bwa%2Bkisukuma.jpg

DUbFmkjL.jpg

10499043_1439052436373157_2098609444_n.jpg

hqdefault.jpg

 
Nimekua nikimfatilia sana huyu kijana na inspiration stories zake za kuhamasisha vijana kuacha kuajiriwa na kujiajiri wenyewe kama alivyofanya yeye kuacha kazi Heinken.....na miminikaacha kazi bwana ..Joto nalokula huku mtaani ni mm mwenyewe najua.

Cha kushangaza aliyekua anatushauri naona kaajiriwa E-FM .....KWELI NIMEAMINI MAISHA BILA UNAFIKI HAYAENDI
 
One thing I want to tell you ni kwamba. Kuna watu wapo so talented kwenye kuongea. Na wana penda kutumia hicho kama mechanism ya wao kutoka kimaisha. Its simply what bikira is doing. Yeye hana anachokijua zaidi ya kumpliment idea za watu na kuziweka kwenye literature. Koz anajua kuandika ukawa konvinced. We uoni na pumba alizokuwa anaandika. Is simply a comedian na kupromote kazi za watu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom