Recent content by makinika18

  1. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hii ni PSG na inamilikiwa na Qatar, sasa hiyo point yako sio sahihi kwa hapa
  2. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Inaonekana unajua mpira kuliko Ten hag aliyemnunua na anayemchezesha kila siku, Kila kocha ana mbinu zake, na maelekezo aliyopewa Antony ni kulinda mpira, kutanua uwanja, na ku combine na wenzie nafac ikipatikana, na ndio maana unamuona anacheza vile na hauon akiwekwa benchi kwa kucheza vile
  3. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Point hapo ni jicho la kishabik, na hamna uwezo wa kuifunga united goli 3, tangu tulipofungwa na Man city hakuna aliyeweza shinda goli 3 kwa Man u, Game itakuwa ngumu sana na mkileta utoto tutawapiga kimoja kazi iishe, na sisi tukizingua tunaweza pigwa goli 1 tu la kuamua mechi, la sivyo hii no...
  4. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mbona huyo Partey mnayemuongelea hajafika hata Level za Declan Rice, au unazungumzia mpira gan?
  5. M

    House4Sale Boma kubwa linauzwa mil 23 tu (INA HATI)

    Bado ipo kiongozi, karibu tufanye biashara 0654909390
  6. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mbape sio namba 9, hana tofaut na Rashford wote wanapenda tokea kushoto
  7. M

    House4Sale Boma kubwa linauzwa mil 23 tu (INA HATI)

    Hii Nyumba bado ipo na Bei imepungua kwa sasa kama upo interested karibu tufanye biashara
  8. M

    House4Sale Boma kubwa linauzwa mil 23 tu (INA HATI)

    Kuanzia Lini wizara ya Ardhi imeanza kutoa hati za viwanja kwa kuzingatia mipaka ya mchai chai mkuu? Kiwanja kina hati na mipaka yake hata haiihitaj kelele na mtu kwa sababu ina vipimo vya wizara ya Ardhi
  9. M

    House4Sale Boma kubwa linauzwa mil 23 tu (INA HATI)

    1.5km toka Morogoro Road, kwa miguu ni dakika 15 ila kwa pikipiki ni elfu moja na dakika 5 tu umefika
  10. M

    House4Sale Boma kubwa linauzwa mil 23 tu (INA HATI)

    Ipo Kibaha picha ya ndege Master bedroom 1 Vyumba vya kulala vi4 Jiko na store Public toilet Parking Kiwanja ni 515square metres Mashimo mawili ya choo Kina HATI Bei ni 23mil maongezi yapo Kwa mawasiliano zaid 0654909390 (MMILIKI SIO DALALI).
  11. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Safi sana, umeelezea vzur sio wengine wanaleta mihemko ambayo haipo, hawajiuliz kwann msimi huu Gurdiola kauza Sterling kabak na Grealish? Au kwann Grealish ana namba mbele ya Maharez? Mpira unabadilika sana
  12. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hujui chochote kuhus mpira
  13. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hizo pesa wanazotoa sio zao, na hawana mipango ya kusuka Timu kila msimu huwa wanasajili mashabik wakiwapa presha, yaan sisi kusajil kwetu ni mwishon mwa Dirisha,
  14. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    OGS aliweza kuwakabili wale watoto na ndio maana game ilikuwa inaisha kwa droo, ila mistake ya lingard ndio ikasababisha tukafungwa, sasa hapo unampaje lawama mwalimu
Back
Top Bottom