Recent content by Makini joo

  1. M

    Crypto na ahadi ambayo haijatimia

    Just imagine, unaweka ela yako kwa mtu ambaye humjui/taasisi ambayo huijui(crypto), ambapo siku wakiamua kuzima data na kupotea. Hujui utawapata wapi. Hawa crypto ni sawa na mjasiliamali mmoja ivi, ana ela zake, sasa anataka kuzizungusha.. Ngoja nikupe kisa hiki kama hujawai kukisikia. Jamaa...
  2. M

    Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    HABARINI WANA JAMII,, NAOMBA KUCHANGIWA MAWAZO, USHAURI, UFAHAMU NK, KTK YAFUATAYO ILI KUWEKA REKODI SAWASAWA.. KWANZA KABISA, NILIMSIKIA MTU MMOJA, SIMKUMBUKI JINA, NA SIKUMBUKI WAPI ILA NI MFANYAKAZI WA TRA... KWENYE MAKODI YA KUKADIRIA BIASHARA MBALIMBALI YA WATEJA. JAMAA: bro nakushauri...
  3. M

    Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

    HABARINI WANA JAMII,, NAOMBA KUCHANGIWA MAWAZO, USHAURI, UFAHAMU NK, KTK YAFUATAYO ILI KUWEKA REKODI SAWASAWA.. KWANZA KABISA, NILIMSIKIA MTU MMOJA, SIMKUMBUKI JINA, NA SIKUMBUKI WAPI ILA NI MFANYAKAZI WA TRA... KWENYE MAKODI YA KUKADIRIA BIASHARA MBALIMBALI YA WATEJA. JAMAA: bro nakushauri...
  4. M

    FUTURE INTELLIGENCE: Hakutakuwa na vifo tena, lakini...

    Bro hii conspiracy itawezekana pale tuu, binadamu ataweza kujiumba, na ili aweze kujiumba ni pale ama atakapo fanikiwa kumuona muumba, ambaye ndie Mungu ambaye ametuumba. Ndio maana hakuna binadaam aliyewai kumuona Muumba ktk asili yake, bali vitabu vya dini vinaonyesha kwamba Mungu amewatokea...
  5. M

    FUTURE INTELLIGENCE: Hakutakuwa na vifo tena, lakini...

    Bro hii conspiracy itawezekana pale tuu, binadamu ataweza kujiumba, na ili aweze kujiumba ni pale ama atakapo fanikiwa kumuona muumba, ambaye ndie Mungu ambaye ametuumba. Ndio maana hakuna binadaam aliyewai kumuona Muumba ktk asili yake, bali vitabu vya dini vinaonyesha kwamba Mungu amewatokea...
  6. M

    Kupitia UTT, Ninahitaji milioni 2 kila mwezi

    Hii mifuko ya utt mara nyingi faida yake ina vary, inategemea na kupanda na kushuka kwa thamani ya pesa.. Trust me.. Hii mifuko wakati mwingine huwa ni kama umeweka hisa tuu.(tatizo hawasemi ukweli,, wanajaribu kuiita majina mazuri mazuri ili uvutiwe uweke ela yako humo). Unapoweka hisa,, basi...
  7. M

    Huko Mbinguni tutaonana na Mungu uso kwa uso au atakuwa bado anajificha?

    Kikubwa ni heri kuamini Mungu yupo, kuliko kusema au kuamini hayupo. Siku ukifa ukienda ukamkuta itakuwa ni heri kwako, na pia usipo mkuta hautakuwa umepoteza.. Kuliko usiamin alaf ukaenda ukamkuta..
  8. M

    Huko Mbinguni tutaonana na Mungu uso kwa uso au atakuwa bado anajificha?

    Mungu ni ROHO, shetani pia ni roho,, sisi tuna miili ambayo ndani yake ndio tupo sisi roho. Lakini tunaishi ktk mwili na nyama.. Siku ukifa, roho(ambaye ndio wewe) utatoka ktk mwili na utaishi katika ulimwwngu mwingine wa roho..
  9. M

    Nina maswali fikirishi kuhusu nadharia ya vimondo

    May be, labda niulize. Ktk soma soma yangu,, utafit wa anga za mbali mara nyingi unafanyika kwa kutumia vyombo maalum vinavyorushwa kwwnga huko.. But so, far nimesoma mahali, satelites nyingi (especially za nasa), zikitumwa huko, ama hazirudi au zikirud hazina uwezo wa kwenda huko tena.. Lakin...
  10. M

    Nina maswali fikirishi kuhusu nadharia ya vimondo

    Dunia hujiendesha ktk nature yake.. Na action and reaction are = and opposite. Tume deform many nature za hii dunia.. Sasa,, majanga mbali mbali tunayoyapata ama ya asili au la, hayo yoote yatakuwa yanatokea ili dunia irudi katika uhalisia wake.. Mfano leo hii ukikata miti yote duniani,, baa la...
  11. M

    Nina maswali fikirishi kuhusu nadharia ya vimondo

    Kati ya nasa na elon nani mkali wa anga.. Is like kuna usiri mkubwa sana hawa wawili wana shindana..
  12. M

    Kilimo cha nyanya msimu wa 2021/2022

    Nimesoma komenti tangu mwanzo hadi hapa.. Ila bado sijapata content ya kujitosheleza.. Hasa kwa sisi wageni ambao tunashawishika kulima zao la nyanya.. Kilimo cha nyanya , ni project kama project zingine tuu.. Hivyo inahitaji mambo kadha wa kadha wa kuyajua. Mfano, ujue gharama ya from beginning...
  13. M

    Kilimo cha nyanya na mbogamboga kwa njia ya umwagiliaji

    Wataalamu naomba kuuliza.. Nina ekali 1 na nusu, iko tambalale kabisa, na kuna kisima cha kuchimba na mashine, kina maji mengi sana ya kutosha, na tanki lake lipo juu la lita elfu 10. Eneo hilo lipo kigamboni mbutu, ardhi yake ina rutuba tuu, maana kilimo cha mvua tuu kwa mazao madogo madogo...
  14. M

    UMEME WA DC KTK MACHINE ZITUMIAZO SOLAR/ BATTERY

    Consider formula nime google kidogo.. Chukulia friji linalotumia AC. 240V with 40Amps. Alafu tu conside friji la Dc, 12V na Watt tuchukue tutakazo zipata za kwenye Ac, je, amps ni kweli itakuwa kubwa sana ya kwenye DC compare to ya kwenye AC?. Is it possible?. Karibu unielimishe kidogo apo
  15. M

    UMEME WA DC KTK MACHINE ZITUMIAZO SOLAR/ BATTERY

    Nimekupata vizuri sana.. Sasaiv inabidi nitambae na logic ya kujua kwanza wattage ya vifaa.. Ndio nifanye conclusion. Asante sana
Back
Top Bottom