Recent content by makindaOG

  1. makindaOG

    Soko la asali Tanzania

    Naomba kujua kwa yeyote anaejua soko la asali mbichi (pure) Tanzania?
  2. makindaOG

    GE2020 Kwanini CCM imeweza kusalia madarakani kwa miaka yote?

    Katika mojawapo ya mahojiano aliyowahi kufanya miaka ya nyuma, Rais Yoweri Museveni wa Uganda alipata kuulizwa anadhani nini hasa ilikuwa siri ya Baba wa Taifa la Tanzania, Julius Nyerere, kudumu muda mrefu madarakani. Bila kupepesa macho, Rais huyo alitoa jibu moja tu; He tamed the army...
  3. makindaOG

    Unamjua mdukuzi Kelvin Poulsen

    [emoji110][emoji110][emoji110]
  4. makindaOG

    Barabara hatari duniani

    BARA la Afrika linaelezwa kuwa moja ya maeneo yanayoongoza kuwa na ajali nyingi zaidi duniani kutokana na sababu mbalimbali hasa uzembe pamoja na ubovu wa miundombinu yake ya barabara. Karibu watu milioni 1.3 hufa kila mwaka kutokana na ajali za barabarani na kutokana na sababu kama hizo. Kwa...
  5. makindaOG

    Unamjua mdukuzi Kelvin Poulsen

    Kevin Poulsen alizaliwa tarehe 30 mwezi Novemba mwaka wa 1965. Moja ya udukuzu wake muhimu ni udukuzi wa redio ya LA kwa jina la KIIS-FM. Kwa kudukua nambari za simu za shirika hilo la redio Poulsen alijitangaza mshindi wa gari[emoji23] aina ya Porsche[emoji95] pamoja na zawadi zingine...
  6. makindaOG

    Jonathan James mdukuzi maarufu (Hacker) katika historia ya Dunia

    Miongoni mwa watu wanao hitajika sana katika serikali [emoji110][emoji110]
  7. makindaOG

    Jonathan James mdukuzi maarufu (Hacker) katika historia ya Dunia

    Jonathan alizaliwa tarehe 12 mwezi Desemba mwaka wa 1983. Alipata umaarufu alipohukumiwa kifungo akiwa na umri wa miaka 16 [emoji16]kwa makosa ya udukuzi aliyofanya akiwa na umri wa miaka 15. Jonathan alidukua mifumo ya kompyuta katika wizara ya Ulinzi ya Marekani[emoji848]. Jonathan pia...
  8. makindaOG

    Maswali ya kipuuzi

    Ndo naanza
  9. makindaOG

    Maswali ya kipuuzi

    1. SWALI:"Ni mvua inanyeshe?" JIBU:"Hapana ni supu yamwagika" 2. SWALI:"Hiyo gazeti ni ya leo?" JIBU:"Hapana ni gazeti yangu!" 3. MWALIMU MKUU:"Umemuona school captain?" MWANAFUNZI:"Sikuwa namtafuta!" 4.SWALI:"Unakula?" JIBU:"Hapana nabusu kijiko" 5.SWALI:"Unangojea lift uende juu?"...
  10. makindaOG

    Maisha na simulizi za mafundisho, stori ya kweli ya ajabu na yakusisimua

    MAISHA NA SIMULIZI ZA MAFUNDISHO STORI YA KWELI YA AJABU NA YAKUSISIMUA Kulikuwa na mzee mmoja ambaye alikuwa tajiri sana, Mzee huyu alibahatika kuwa na binti mmoja na ambaye alimpenda sana na hata kumwandika kuwa mrithi wa mali zake zote pindi mzee atakapoiaga dunia. Mzee huyu alimiliki...
Back
Top Bottom