Recent content by makelejasitta

  1. makelejasitta

    Baada ya bunge live, wasanii, magazeti, sasa Mwakyembe asema mitandao ya kijamii ni hatari lazima...

    Anaelekea kuzeeka vibaya huyu Mzee kila kukicha heshima inazidi kushuka
  2. makelejasitta

    Gwajima ni 'Threat to National Security', Mamlaka husika zimdhibiti

    Acha umbea ya gwajima yanakuhusu nini,acha kila MTU achukue nafasi yake.Fanya sehemu yako na watu wa usalama watafanya nafasi yao.sifa ya MTU wa usalama wa taifa lazima awe na akili za ziada ambazo wewe uliyelopoka hapa hauna.so shutup your mouth
  3. makelejasitta

    Ndoto kama hii INA maana gani?

    Nilisahau wakati anakimbia alikuwa kashikilia mabulungutu ya hela
  4. makelejasitta

    Ndoto kama hii INA maana gani?

    Kiaje?bado sijakuelewa mkuu
  5. makelejasitta

    Ndoto kama hii INA maana gani?

    Wapendwa katika BWANA,habari za asubuhi,BWANA wetu asifiwe sana.wapendwa katika harakati za kimaisha nimejifunza hili jambo japo sijalifanyia ufumbuzi Kwamba katika Maisha usipuuzie ndoto. Nimejaribu kuangalia wakuu na wafalme katika BIBLIA shida walizozipata baada ya kupuuzia ndoto,hivyo...
  6. makelejasitta

    Sakata la vyeti feki Daudi Bashite Vs Makonda Paulo

    Kwani umeambiwa tatizo ni jina?tatizo sio jina.jina MTU anaweza kubadili,tatizo ni vyeti vya MTU mwingine
  7. makelejasitta

    Namna gani ya kufurahia mgegedo na mtu aliekeketwa?

    Naskia eti ukitupia mtambo hakuna kizuizi kama shimoni vile.huhangaiki
  8. makelejasitta

    Msaada wa sheria haraka jamani

    Mimi nimenunua kutoka kwa Rafiki yangu jina anaitwa baraka tunaaminiana sana,yeye naye alikinunua kwa MTU jina anto ila huyu anto alikinunua kwa mmliki wa kwanza jina suda.tatizo anto alipouziwa akapewa offer na nyaraka zingine zote ila hawakubadilisha jina baadae akamuuzia baraka,akakabizishwa...
  9. makelejasitta

    Msaada wa sheria haraka jamani

    Wacojaco nashukhuru sana mkuu.mambo mengi yamepita hapa ikiwemo udanganyifu kutoka ardhi.
  10. makelejasitta

    Msaada wa sheria haraka jamani

    Duh,bado haujanisaidia mkuu
  11. makelejasitta

    Msaada wa sheria haraka jamani

    Mawasiliano yangu pia 0719186353,0764654099
  12. makelejasitta

    Msaada wa sheria haraka jamani

    Niliuziwa kiwanja tukagonganishwa watu wawili huko simiyu,Mimi nikawa nimewahi kujenga nyumba pale baadae akaja mwenzangu na yeye anadai kauziwa,kumbe aliyemuuzia alishafanyaga ujanja mapema kabla Mimi sijauziwa akajifanya kapoteza ile ofa ya kiwanja,akaenda polisi akaandikiwa loss riport,kwa...
  13. makelejasitta

    Rais Magufuli: I wish I could be IGP; Ni kuhusu wale wanakwaya pale central

    Ninashukhuru sikumchagua huyu MTU.maana ningemchagua mateso wanayoyapata watanzania yangenirudia baadae
  14. makelejasitta

    Paul Makonda Asema kuna Watu ni Kama Mbwa Mwitu

    Eti shauku ya mungu na rais wetu.ni kuona Tanzania haina madawa ya kulevya.WEWE UNAIJUA SHAUKU YA MUNGU WA MBINGUNI MAKONDA?acha kujidharirisha.au unamaanisha mungu yupi?au ambaye ukisimama amesimama yeye.mungu wa dar es salaam.?
Back
Top Bottom