Makato ya KUTUMIWA Pesa kwenye mmoja wa Mitandao ya simu ilikuwa kuanzia Tsh. 50,000 hadi 99,999 unakatwa makato haya hapa:
ADA KUTUMIWA: Tsh. 720+VAT
JUMLA KUU: Tsh. 720
Na sasa KUTUMIWA hiyo hiyo 50,000 hadi 99,999 Unakatwa makato haya hapa:
ADA YA KUTUMIWA: Tsh. 720+VAT
TOZO MPYA YA...
Oilcom ni wezi sana wa mafuta. Wakikukosa kwenye tarakimu wanazoandika pale basi watakukamua kwenye pump. Mimi pale hata gari ikate mafuta sisogei kamwe kuweka mafuta wameshaninyoosha sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.