Recent content by makaveli10

  1. makaveli10

    Njia zipi zinatumika kutest ubora wa Condoms

    Mzee wa "vinyeo" Specialist kabisa
  2. makaveli10

    Tabora: Baba adaiwa kuchinja mtoto mchanga akidai si wake

    Sio kupata nao watoto tu, tuwe makini na kila mtu, nimegunduq ugonjwa wa akili upo kwa watu wengi sana.
  3. makaveli10

    Tabora: Baba adaiwa kuchinja mtoto mchanga akidai si wake

    Sikuhangaika hata kusoma habari, kichwa cha habari kilinitosha... Haitoshi hiyo maiti yake ichunwe ngozi, ichapwe bakora na kisha ikatupwe mto kagera iliwe na mamba, ni haramu kuzika mduwanzi kama huyo
  4. makaveli10

    Tabora: Baba adaiwa kuchinja mtoto mchanga akidai si wake

    Mpumbavu huyo, nae achunwe ngozi kisha achinjwe.
  5. makaveli10

    Siku nikifa kama nilihusika kwenye kuwadhulumu na kuwatesa furahini na wekeni sherehe. Msilete unafiki wa kijinga kwamba marehemu hasemwi

    Marehemu anasemwa na anasimangwq vizuri tu.. kwingine viboko na masingi anapigwa
  6. makaveli10

    Visa vya Wajawazito kwa waume zao

    Niliamshwa, usiku wa manane nikamtafutie kuku wa kuchoma tena wa kienyej. Nikakaonea huruma toka asubuhi hakajala, akaenda chuo, kurudi akala akatapika, usiku akashindwa kula.. Nikajizoa zoa nikaenda mnunulia. nikafunga safari toka makulu mpaka chako ni chako..
  7. makaveli10

    Usiku kuwa mfupi na masaa kwenda kasi kwa nyakati hizi nini sababu?

    Hata miezi na miaka ni fasta fasta tu.. Kwenye mafundisho ya dini fulani yametabiliwa haya
  8. makaveli10

    Uzi maalumu : Elezea kero unazo kumbana nazo / maoni yako kwa watoto walio zaliwa mwaka 2000 na kuendelea

    Kuna kitoto, kwa makadirio kipindi kile kalikuwa na miaka kati ya 19 hiv 20 hajafika yule binti, tulikuwa tunaenda kwenye harusi ya jamaa yangu, tupo kwenye special hire.. Njiani vijana wanajiumiza kuhudumia anachotaka ananunuliwa tena kwa kugombewa, ni kazuri, kana kishundu mujarabu na...
  9. makaveli10

    Full TIME | Tanzania 0-1 Liechtenstein | International Friendly | Kigali Pelé Stadium

    Mna hakika taifa stars ni timu ya mpira, sio kikundi cha ngoma, yule selemqn mwalimu, anakimbia kama ana kibunzi matakoni hamna mchezaji mule, mchezaji hana vision, passing shida, dribbling tabu, controll chumba na sebule, 1vs1 mbinde. Kwenye maisha bahati ni jambo muhimu zaidi ya vyooote.
Back
Top Bottom