Recent content by makaveli10

  1. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Bado hatujamsikia Rais akisema neno 'Samahani' kwa yaliyotokea

    Samahani yake itasaidia nini?
  2. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    Nchi imekuwa ya kisenge sana siku hizi.. tulikosea pale ambapo madaraka tuliwapa washamba na malimbukeni wa madaraka.
  3. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    1. Kuwa sensitive na kitovu, tunafanana. Sipendi hata kidogo, hata mtu nikiona anachezea cha kwake najisikia vibaya, sasa ukutane na mtu anataka kunyonya kitovu, unakuwa unamtoa kidizaini nae haelewi somo 🤮🤮 2. Hupendi penetration hata kidogo, swali la kizushi ina maana we ni bikra kabisa...
  4. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Samia na Kikwete Madaraka kwao ni bora kuliko taifa

    Uchu wa madaraka ni mbaya sana
  5. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    Wazo la kujitawala halikuwa baya, ila matendo ya watu tuliowapata ndio kipengele, kiasi kinafanya tuwakumbuke wakoloni. Ni mambo ya hovyo ya hawa MABARADHULI tuliowaachia mamlaka
  6. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Kawaida sana hiyo, unasaidia watu, kisha wanachimna, ni wachache sana ambao wanakumbuka fadhila
  7. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Hii ishu iko deep sana, nilikodiwa na bimkubwa mmoja na mwanae mgonjwa ana Cerebral palsy, nae anaenda kwa mwamposa aisee, nikawa namhoji kiujanja ujanja, ni ana muamini kupitiliza.. kibaya zaidi siku anasema siku ya kwanza kwenda ndio siku aliyopewa nyumba yake aliyotaka kudhurumiwa, hapa...
  8. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Japo anazingua ila bimkubwa anapenda maendeleo yako, endelea kumpenda.
  9. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiyo Msanii aliyedharaulika zaidi kwenye muziki wa Tanzania? – Kisa cha Rashidi Ziada (KR)

    Subiri afe atasifiwa. Ni kweli jamaa hana kazi za solo.. lakini katika hizo hizo za makundi alifanya poa sana.. Huwezi itaja GWM bila kumtaja KR
  10. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Vini na kambi yake wanataka kuifanya arsenal kama RAMOS kwa MAN U, Ramos wanavujisha habari anaenda man u kuitishia madrid imwage mpunga mezani. Vini ni mchezaji mzuri uwanjani, ila ana vitabia vya hovyo hovyo mnooo, hata ukiwa kwenye timu moja nae kuna muda utakereka
  11. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Uzi wa vyakula tu

    Yule mzee ni mduwanzi sana 🤣
  12. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Comebacks 5 za kibabe zaidi kwenye soka la kisasa kuwahi kutokea

    Hiyo comeback ya barca kwa PSG ilikuwa na matukio mengi sana yasioridhisha ni kama vile barca walibebwa.
  13. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Nadhani Jay Ruty anavuta mpunga mrefu kutoka Diadora kupitia Simba. Tuamke

    Inawezekana ikawa kweli, kwa sasa simba hana cha kufanya sababu jamaa anatimiza matakwa ya kimkataba, labda mkataba uishe ndio simba akae mezani na diadora moja kwa moja. Jayrutty ni kala mkataba ila kazi ya kutengeneza kaenda kwa diadora, anawalipaje diadora watajuana wao.
  14. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Kwanini matukio ya Ngono za Kuagana kabla ya Harusi yanashika kasi Tanzania?

    Na sijui hata mwaka gani nitajipata, tuendelee kukulana kiwizi wizi hivyo hivyo tu.
  15. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Uzi wa vyakula tu

    Lipi? 😂🤣
Back
Top Bottom