Recent content by makaveli10

  1. makaveli10

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Inabidi wapimwe mkojo 🤣
  2. makaveli10

    Aliniambia hana hisia na mimi ila sasa hivi hachoki kupiga simu

    Ndio NILIVYOKUWA. Zamani huko. Siku hizi sina hizo mambo kabisa, mama watoto kaishaniweka wenye chupa, sina makali.😂🤣 Wanawake wengine woote naona ni mama na dada zangu 😂
  3. makaveli10

    Ney wa Mitego kawatolea ngoma ''Kataa ndoa''

    Kia mtu na maisha yake, katu siwezi poteza nguvu zangu kumuaminisha mtu jambo, sio ndoa, sio dini, sio chochote.
  4. makaveli10

    Aliniambia hana hisia na mimi ila sasa hivi hachoki kupiga simu

    Enzi zangu huyo namfanya tambala la deki, ni kugegeda tu, kiburudisho kimejileta chenyewe.
  5. makaveli10

    IBRAHIM TRAORE, Rais kijana, alovuviwa Roho ya Hayati Magufuli, anayepaswa kuigwa na Vijana wa Tanzania. Burkina Faso sasa inachanua

    Tanzania wanasiasa 99% wote ni wachumia tumbo, hatuwezi fika tunapotamani kufika.
  6. makaveli10

    Umeshawahi kukutana na mtu ameuchapa usingizi kwenye daladala?

    Enzi ninaskuli, nishasinzia sana kwenye daladala....
  7. makaveli10

    Ukiwa mjinga ndio unaitwa “A caring and an understanding boyfriend”

    Na bado, mkileta umama mtateseka saana.
  8. makaveli10

    Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

    Makaburi pale ukiingia ndani huko wamejazana hatari.
  9. makaveli10

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mtu anapewa sifa nzuri au mbaya kulingana na wingi wa mazuri na mabaya yake ... Kai kwangu anakera zaidi kuliko kufurahisha, haimaanishi kina trossard, saliba, raya hawakosei, nao inatokea wanakosea lakini mazuri yao ni mengi zaidi. Kwangu ngongoti kai ni big NO mpaka abadilike.
  10. makaveli10

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    K Kwetu sisi na tulipotoka ni hatua kubwa.
  11. makaveli10

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ni Ni matatizo yetu tu wenyewe, ila ilibidi afe hizo kama kweli tupo serious.
  12. makaveli10

    SGR yetu waweke Polisi au JKT chooni!

    Wabongo na ustaarabu ni paka na panya.🤣
  13. makaveli10

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kama sio masihara, tungewakafua hata 8 wale kenge. Dhambi ya kutuuzia kai na kuwatapeli man u kwa mlima mason, itawatafuna mnoo 🤣
  14. makaveli10

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mie kai alipofunga sikushangilia wala nini, kwanza ile game niliona kabisa wanakufa sikuwa na muamko na goli, pili kai alikuwa kaishanikera mpaka kunikera tena. Kuna mpumbavu mmoja kai alipofunga akaniambia kaka umemuona kai huyo😂, Nikamwambia chizi akiokoa mtoto kwenye moto haimaaninshi...
  15. makaveli10

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal hatuna huu uhuni kabisa mkuu, huyu atakuwa ni wenu au livakuku Amini maneno yangu 😂
Back
Top Bottom