Ndio NILIVYOKUWA. Zamani huko.
Siku hizi sina hizo mambo kabisa, mama watoto kaishaniweka wenye chupa, sina makali.😂🤣 Wanawake wengine woote naona ni mama na dada zangu 😂
Mtu anapewa sifa nzuri au mbaya kulingana na wingi wa mazuri na mabaya yake ... Kai kwangu anakera zaidi kuliko kufurahisha, haimaanishi kina trossard, saliba, raya hawakosei, nao inatokea wanakosea lakini mazuri yao ni mengi zaidi.
Kwangu ngongoti kai ni big NO mpaka abadilike.
Mie kai alipofunga sikushangilia wala nini, kwanza ile game niliona kabisa wanakufa sikuwa na muamko na goli, pili kai alikuwa kaishanikera mpaka kunikera tena.
Kuna mpumbavu mmoja kai alipofunga akaniambia kaka umemuona kai huyo😂,
Nikamwambia chizi akiokoa mtoto kwenye moto haimaaninshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.