Ni suala gumu sana, akaze... kai na ndugu yake gyokeres kwa kweli inabidi wafanye jambo kubadili akili yangu.. kifupi aina yao ya uchezajo hainivutii..
Saka nae homa ya vipindi...
Ugomvi huu hauishi mkuu 😂🤣
Haka hakana gharama, kanawahi kushiba, kanawahi kulewa.. kopo la mafuta haliishi haraka..
Kwenye bus, unakata siti 1, unampakata mpaka mwisho wa safari.😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.