Recent content by makaveli10

  1. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Ali Kamwe Afunguka; Hatma ya Dickson Job na Clement Mzize Yanga SC, Wapewa ‘Green Light’ Yanga SC

    Huyu mzize.. atakuja kujutia kutochangamkia lile dili la uarabuni
  2. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Beki wa Iran atengeneza pasi nyingine ya bao kupitia mpira wa kurusha

    Mpira wa kirusha karibu na goli kwake ni kona.
  3. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Man U chukueni somo hapa kwa Man city

    Itakuwa kushinda 2 bila 😂🤣
  4. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ni suala gumu sana, akaze... kai na ndugu yake gyokeres kwa kweli inabidi wafanye jambo kubadili akili yangu.. kifupi aina yao ya uchezajo hainivutii.. Saka nae homa ya vipindi... Ugomvi huu hauishi mkuu 😂🤣
  5. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Wangapi wanaamini alistahili kuwania Ballon d'or

    Je alifanya nini cha maana msimu uliopita kiasi awepo kwenye kinyang'anyiro?
  6. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Aka hapa ka ndege ya chini. Kafupi katamu , kapole kenyewe

    Haka hakana gharama, kanawahi kushiba, kanawahi kulewa.. kopo la mafuta haliishi haraka.. Kwenye bus, unakata siti 1, unampakata mpaka mwisho wa safari.😂
  7. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Rais wa Botswana, Duma Boko: Unapoingia madarakani inaweza kukuchanganya na kukufanya ujione kama nusu-mungu

    Madaraka yanalevya, haswa kwa vichwa maji...
  8. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huwa najiuliza ni kwamba hajui ama ni kakiburi kake, mradi aoneshe utofauti?
  9. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ana u ahueni tena mkubwa tu
  10. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hakuna namna.
  11. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    hakuna ng'ombe asiefaa, kai katusawazishia lakini bado kwangu ni kiazi
  12. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    SAka, havertz, gyokeres sijawahi waelewa.
  13. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Katambi ampa onyo kali Afande Sele. Hatufanyi mzaha

    Amini nakwambia, viongozi wetu wengi ni washamba, MALIMBUKENI wa madaraka, chunguza tu utang'amua jambo
  14. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Katambi ampa onyo kali Afande Sele. Hatufanyi mzaha

    Ishu yenyewe tu ni mzaha mzaha tu, waziri na hiki anachohangaika nacho havifanani kabisa.
Back
Top Bottom