1. Kuwa sensitive na kitovu, tunafanana. Sipendi hata kidogo, hata mtu nikiona anachezea cha kwake najisikia vibaya, sasa ukutane na mtu anataka kunyonya kitovu, unakuwa unamtoa kidizaini nae haelewi somo 🤮🤮
2. Hupendi penetration hata kidogo, swali la kizushi ina maana we ni bikra kabisa...
Wazo la kujitawala halikuwa baya, ila matendo ya watu tuliowapata ndio kipengele, kiasi kinafanya tuwakumbuke wakoloni.
Ni mambo ya hovyo ya hawa MABARADHULI tuliowaachia mamlaka
Hii ishu iko deep sana, nilikodiwa na bimkubwa mmoja na mwanae mgonjwa ana Cerebral palsy, nae anaenda kwa mwamposa aisee, nikawa namhoji kiujanja ujanja, ni ana muamini kupitiliza.. kibaya zaidi siku anasema siku ya kwanza kwenda ndio siku aliyopewa nyumba yake aliyotaka kudhurumiwa, hapa...
Vini na kambi yake wanataka kuifanya arsenal kama RAMOS kwa MAN U,
Ramos wanavujisha habari anaenda man u kuitishia madrid imwage mpunga mezani.
Vini ni mchezaji mzuri uwanjani, ila ana vitabia vya hovyo hovyo mnooo, hata ukiwa kwenye timu moja nae kuna muda utakereka
Inawezekana ikawa kweli, kwa sasa simba hana cha kufanya sababu jamaa anatimiza matakwa ya kimkataba, labda mkataba uishe ndio simba akae mezani na diadora moja kwa moja.
Jayrutty ni kala mkataba ila kazi ya kutengeneza kaenda kwa diadora, anawalipaje diadora watajuana wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.