Recent content by makato

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wataalam wa sheria masaada unahitajika

    Kumaliza kesi kirahic hivyo hawataki coz wanataka rushwa tu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wataalam wa sheria masaada unahitajika

    Police wa tz mzee hapo wanachotaka nao ni kumuibia jamaa tu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wataalam wa sheria masaada unahitajika

    Ulaji wa police tena ana bahati police wataongeza na kosa lingine la hiyo simu ilikua kwenye pochi na kwenye pochi kulikua na hela na cheni ya dhahabu mahabusu wapo wengi sana huko wamerundikwa mwisho unaambiwa huna ndugu wenye hela wake wakutoe
  4. M

    JamiiForums Tanzania Waislamu wanatubeba sana!!

    Kwa hiyo tufanyeje ?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Maeneo gani Dar mazuri kwa kuishi?

    Kigamboni kupo poa kero ni moja tu hiyo kuingia na kutoka lazima ulipie pantoni darajani[emoji16].
  6. M

    JamiiForums Tanzania Swali: Kwanini zamani wadada walikuwa wakikojoa mkojo unachimba shimo tofauti na siku hizi?

    kuchamba kwiiingi kumbe hakuna kitu nani alikufundisha kua mkojo unatokea kule ? sasa kama wanakojoa kwenye ma sink unatoka yatobolewe au
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hapa mjini kumiliki gari ni muhimu kuliko nyumba

    umeongea vizuri mkuu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hapa mjini kumiliki gari ni muhimu kuliko nyumba

    balaa lingine mwenye nyumba hawezi kukuelewa una gari alafu kila siku unaendesha alafu anakudai atakujazia watu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hapa mjini kumiliki gari ni muhimu kuliko nyumba

    sawa father car'
  10. M

    JamiiForums Tanzania Waziri kujitokeza na kujibu hoja za CAG Kwamba Kama ni kweli utavua nguo hapa umeonyesha udhaifu

    Ingekua ww ndugu yangu tungekaa kikao cha familia kabisa tukuchangie nauli ya mirembe
  11. M

    JamiiForums Tanzania Umasikini ule ulitutesa sana, Isijirudie tena...

    fafanua hapo mdau mgonjwa kafanyeje ten mbona mnamsingizia kila kitu
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa anayefahamu kuhusu madaraja uhamisho na mishahara ya wafanyakazi

    😅😅😅😅
  13. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenzangu, hapa Tanzania hakuna wanaume

    Mi nimekubali mbona sijitambui yote sema ila pole wamekuchezea wengine na kukuzalisha wengine sasa single parenting inakutesa kwanini usijitambue [emoji23][emoji23][emoji23] Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  14. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenzangu, hapa Tanzania hakuna wanaume

    Nashukuru doctor kama mimi sijitambui sasa wewe unaejitambua ilikuaje ukaolewa na shoga ...stop blaming others kwa kosa au mapungufu ya mtu mmoja pole again Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  15. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenzangu, hapa Tanzania hakuna wanaume

    Mtoa mada ana stress pole ila mbona hujapangilia hoja zako umesema ni mashoga how wanapenda kula tigo? Alafu ni wachepukaji ...kama ushawahi fanyiwa hivyo jichunguze labda mapungufu unayo wewe Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom