NTEGEYE Jr
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 322
- 286
Ndugu zangu, kuna anaefahamu MADARAJA kwa watumishi yatapandishwa lini? Uhamisho utaruhusiwa tena lini maana Ndoa zetu zinaelekea kuwa mashakani. Ongezeko la Mishahara nalo lipoje?
Mimi ndoa yangu ishakufa. Mungu atamlipa jiwe kwa hili. Na naomba dua kila zinaa ntayofanya dhambi nigawane na jiwe.
Umeingiaje humu?Tusiokua na mishahara kabisa tu comment wapi
Umeingiaje humu?
Choo cha kike umeingia
Komaaa tuu na mengine sio awamu hii sasa ni awamu ya Watesi hawakumbuki kama kuna hayo mambo Mimi toka 2011 sijawah sikia daraja mpaka Leo wonderful enough hata msharaha mwezi huu Kigoma Ujiji hatujapata halafu Afisa utumishi tunamwuliza eti alichelewa kutuma taarifa kweli hii nchi vituko haviishi. Sijui ngazi za juu hawaoni kuja kuwafumua hawa jamaa waweke watu active?Ndugu zangu, kuna anaefahamu MADARAJA kwa watumishi yatapandishwa lini? Uhamisho utaruhusiwa tena lini maana Ndoa zetu zinaelekea kuwa mashakani. Ongezeko la Mishahara nalo lipoje?
😅😅😅😅Labda upande daraja la Kigamboni.
Hadi nimesisimka Kwa huzuni..niliposomaMimi ndoa yangu ishakufa. Mungu atamlipa jiwe kwa hili. Na naomba dua kila zinaa ntayofanya dhambi nigawane na jiwe.
Pole mamaMimi ndoa yangu ishakufa. Mungu atamlipa jiwe kwa hili. Na naomba dua kila zinaa ntayofanya dhambi nigawane na jiwe.
Tunachukua vitambulisho vya elfu 20, ili tuwe wafanya biashara wadogo wadogoTusiokua na mishahara kabisa tu comment wapi