Tunaendelea kumlaumu kwamba ni katika kipindi chake akiwa Mbunge na Waziri wa ardhi open space ya Mecco Kusini ilipewa kinyemela kwa mtu binafisi.Ikumbukwe kuwa huko nyuma Dr.Engineer James Msekela akihusisha watumishi wa Ardhi na Mkurugenzi wa jiji waliamua kuwa eneo hilo ambalo mwenye shule ya...
Mfanyabiashara makini anaelewa na kujali flow ya audience na mapato yake.Anafuata ni nini watazamaji wanachopenda kusikia na kuona.Hamlazimishi mtazamaji yeyote kutune tv yake kwa hiyo mlalamikaji ana uhuru wa kuchagua chanel anayoyoipenda kwa sababu remote iko mkononi mwake.
Inawezekana mahakama kumwachia mtuhumiwa yeyote bila kuwepo dhamana?Wanasheria tusaidieni.Kama haiwezekani nini credibility ya mtu aliyeleta habari hii?
Mtu unakaa ukiota ndoto za mchana unakuja na utumbo kama huu...tafuta mambo ya maana na kama huna tulia.Tanzania ni nchi kubwa na sample yako haina kichwa wala miguu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.