Ile nafasi ya kutolea hela haitoshi kutoa noti 1000 kwa mpigo, nadhani wazungu wamezidesign kwaajili ya hela zao ambazo noti chache zina thamani kubwa.
Nadhani sio ATM zote za CRDB. Upande mwengine itakuwa ni issue ya faida kwasababu kila muamala unakuwa na makato, ukitoa nyingi kwa mara moja inapunguza hiyo faida, DTB mwisho laki tatu.. Ukitaka 1.2m inabidi utoe mara nne badala ya tatu...
Ukiwa mkazi wa Mbezi, wale jamaa wanaganda kila mtu.. kila wanaemuona wanadhani ni msafiri.. wanaweza kukusindikiza safari yako wakidhani unaenda kukata tiketi na husemi.
Kuna yule Azimio aliingia ubia na NSSF na kuithaminisha ardhi iliyotumika kwa bei ya kuruka mpaka akaingia kwenye ripoti za CAG, wamemalizanaje? Maana hisa zake zilikuwa 55%
Nilikata Phoenix Posta mpya, safari ya wiki mbili ilikuwa dola 18. Nenda makampuni ya bima waambie unahitaji bima ya safari. Bima ilikuwa lazima ili kusafiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.