Recent content by majiyashingo

  1. M

    Nahitaji Toys (Midoli) ya watoto ya kuchezea, nitaipata wapi?

    Habarini Hivi wapi naweza kupa midoli ya watoto wa kiume na wa kike ya kuchezea?iwe Dar au hata nje Asanteni
  2. M

    Huyu ndiye Mwigulu Nchemba

    Achane sifa za kisenge nendeni zenu na huyo mpuuzi wenu kodi bilioni 700 mnaona hela wakati nchi inazidi kuwa masikini
  3. M

    Upatikanaji wa biadha hiz

    Jaribu kumtafuta huyu mwananchi hii hapa thread yake kwa masuala ya nguo basi anaweza kukusaidia https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/645626-unataka-kuagiza-nguo-kutoka-nje-4.html#post9429113
  4. M

    Dawa baridi

    Wana jamii nataka nijikite kwenye uagizaji wa dawa baridi kutoka nchi mbalimbali je mtu wa kawaida anaruhusiwa kuagiza dawa baridi kutoka nje na kuna process zipi za kuingiza dawa?na vipi kuhusu usambazaji kuna mwenye idea yoyote nitashukuru sana kwa msaada wenu
  5. M

    Business opportunity

    Mh kweli kuna watu wako fit katika kugawana fursa mkuu shukrani sana wacha wengine pia waje tuone tutafanyaje
  6. M

    A new mintractor for sale

    Specifications mini tractor "Belarus " . Modification Bіlorus - 132 H Type wheel 4x4 Gasoline engine ( Honda ) Number of cylinders 1 Weight, operational , 425 kg Rated traction gain of 2.0 kN Number of gears : Forward 4 Reversing 3 Speed, km / h forward 2.84 -17.74...
  7. M

    Nyumba kwa wageni

    Jamani habari zenu Naomba kusaidiwa juu ya hili swala naona humu kuna wataalmu mbalimbali.Tunajua kwamba Tanzania hakuna sheria inayoruhusu mwananchi au mgeni kununua ardhi moja kwa moja ardhi ni mali ya Taifa na kila mtu ana leese kwa miaka 99.Je raia wa nje ambao wanataka kununua nyumba...
  8. M

    Journal

    jAMANI WAPENDWA kama mnavyojuwa tena maji yashingi yamenifika shingoni kama mwezi hivi niliwewka topic juu ya MASS MEDIA ndugu zangu lengo langu ni moja kucreate opportunities kwa kila mtu -ajira na mambo mengine.Nimeanzisha Journal ambalo lina mamabo yote haya Politics World(africa,Asia,USA...
  9. M

    Mass media

    Zanzibar Spices nashukuru sana mimi sipo hapo ila nitajitahidi kwa namna yoyote nipate mawasiliano ya huyo bwana.Piacha ya gazeti ningependa iwe na mambo kama haya ili liwe kivutio kwa kila rika na kwa kila fani Politics World(africa,Asia,USA, Sport Auto movie music games travel health...
  10. M

    Mass media

    Good sunday evening wapendwa watanzania wenzangu katika kujenga uchumi wa Taifa Ndugu zangu mimi mwenzeni maji iko shingoni nimeshachoka kubeba Box.Sasa nimeona niwekeze kwenye news paper(Gazeti)Naombeni ushauri Je tuchukue proffessional gazeti kama la mwananchi ambalo lina mambo yetu kuanzia...
  11. M

    Construction company

    Jamvini Oyee Jamani msaada kidogo hivi mnaweza kuniambia Process za kuanzisha Construction company mpaka kupata license na kiasi gani inaweza kughalimu Kwa kifupi kampuni yangu nataka Real estate development and costruction Natanguliza shukrani zangu za dhati
  12. M

    Nyumba kwa familiya za chini na na kati

    Habari ndugu na Jamaa na Marafiki Nimerudi tena Kwanza Kabisa Heri ya Mwaka mpya kwenu na mungu awafungulie milango ya baraka kwa Mwaka huu Swali langu ni moja tu na ningeomba tuliangalie kwa pande zote maana linagusa kila mmoja wetu hapa janvini Hivi juzijuzi kumekuwa na mzozo juu ya nyumba...
  13. M

    shares

    hapo kwenye nyekundu fafanua kidogo mjpmba
  14. M

    ushauri wa mifugo, kilimo na biashara

    Bwana mchafu kuoga ni huduma nzuri na watu wengi tunahitaji hizo hduma ila undetuambia kwa kifupi elimu yakokwa faida ya watu wengine ili tujue ni nani tunakuja kumuona asante sana
  15. M

    uanzishaji wa kampuni

    Jamani mimi naishi kwenye Flat na nilikuwa na mpango wa kusajiri kampuni ila kwa kipindi kama cha miezi sita nilitaka kutumia adress ya nyumbani kwani ambayo ni flat je sheria inasemaje kuhusu hilo?inawezekana kuwa na kampuni wakati legal adress ni nyumba ya kuishi?natanguliza shukrani
Back
Top Bottom