Business opportunity

kassamali

JF-Expert Member
Jan 11, 2010
214
40
Janvini oyee
Sasa nimekuwa nikisoma oo kila mara watu wanasema tuna hela na hatujui tuzifanyie nini na sisi kama raia wema tunao itakia nchi yetu mema siku zote tutakuwa karibu yenu

Mtu anayejihisi anaweza kufanya biashara ya condensed milk basi naweza kumwonganisha na kampuni ya kirusi ambayo inahitaji agent kwa kuwa hii brand yao bado Tanzania haipo ila condensed milk Tanzania pia zipo nyingi sasa hapa litakuwa jukumu lako kucompete

Hii Biashara inakwendaje?
Ni kiasi cha kukunua van ndogo,na kukodi warehouse ndogo popote upapendapo.Unanunua mzigo kutoka direct kiwandani kwa bei ya kiwanda kiwanda kinakusafirishia mpaka Dar port unatoa mzigo na kuanza kuusambaza

Kwa upande wa kiwanda kitakusaidiaje?
Kiwanda kitajitahidi kutengeza maziwa ya kopo kwa lebel unayoitaka hata kama utataka lebel iwe na jina lako basi ni shauri yako,kama utataka lebel iwe kwa kiswahili basi utatengenezewa

Pili Kiwanda kitakutengenezea all advertising materials kama vile bronchure nyingi kadri iwezekanavyo na pia kiwanda kitakutengenezea tangazo la TV ila gharama ya kuliweka kwenye TV itakuwa juu yako

Kwa wengine wasiyo fahamu nini condensed milk basi ngoja niweke istoria yake kwa ufupi

Kama utapendezwa na hii biashara basi hebu ni pm na kama kuna maswali wewe tupia tu bila woga

Kampuni ina standard zote za kimataifa na kwa sasa ina export maziwa nchi 28 duniani kwa Africa ni Mozambique,Congo,South Africa ,Tunis,Libya,Misri na Equatorial Guinea nchi zingine ni Venezuela,USA,CUBA ,china,Saud Arabia na nyingine ambazo si rahisi kuziwakilisha zote hapa-Kwa gharama yako mwenyewe basi unaweza ukaagiza sample

Ok kuna mtu mwingine anaweza kusema hii fursa siyo yangu kwa sababu sina pesa-Unajua lazima tujue kuwa fursa ni wewe binafsi kwanza mengine yatafuata-maana yake kama huna mtaji basi watafute watu wanaodili na hayo mambo ongea nao then kutokana na hilo unaweza kupata chochote either kutoka kwako au kutokana na mfumo wowote utakao ufikiria

Fursa nyingine nyingi zipo Rwanda,Burundi,Malawi,Zambia,Congo kwa vipi?Ukiangalia kwa makini utagundua hizi nchi zinaishi kupitia Tanzania na bandari yetu-utaona ni Tanzania tu duniani imeruhusu hizi nchi ziagize zenyewe bidhaa kutoka nje-kama leo watanzania wataanzisha mfumo mzuri na kuagiza biadhaa halafu hizi nchi zikazichukulia bidhaa Tanzania moja kwa wao ni faida kwa kuwa zinapunguza usumbufu na pia kwa wao watapata bidhaa kwa haraka zaidi basi mwisho wa siku kwa sector moja tu itatoa ajira kama milion tano-nasema hivi kwa kuwa nimeona nchi nyingi zilivyotajirika sana kupitia landlocked countries

Tatizo lilipo hawa watu wanapoagiza wenyewe wanalipa port charges tu-kama wangenunua kupitia watanzania basi kwa siku turnover ya sector ya export kutoka Tanzania ingefikia dolar bilion moja

Mimi naamini hata mti wa mbuyu ulianza kama mchicha bado hatujachelewa-condensed milk inaweza kuwa na soko pia kwenye hizo nchi..
 

Attachments

  • 0005000011081_500X500.jpg
    0005000011081_500X500.jpg
    40.7 KB · Views: 326
CONDENSED MILK:

What we mean by saying "sweetened condensed milk"?



Definition of the product:

Condensed milk is food product got by evaporating part of water from cow milk subjected to further processing.
Actually, the term of "condensed milk" is tightly linked by people to sweetened evaporated milk.



Why shelf life of condensed milk is one year?


Due to its long shelf life condensed milk is included to strategic reserve of a country and wide range of products satisfy any tastes of the consumers. There are several types of condensed milk following products: sweetened condensed milk, milk caramel, cocoa with condensed milk, condensed cream with sugar, coffee with condensed milk, condensed milk product, sweetened condensed milk with fructose, milk caramel with fructose.

Long shelf life of condensed milk is achieved through increased concentration of dry milk solids and added sucrose to raise osmotic pressure which killing the most microorganisms. Canning effect is also achieved through thermal treatment and air-proof packaging.

Is condensed milk healthy or harmful?


SCM is such a product that is not only tasty but also healthy. Everyone knows about the benefits of milk and scm is evaporated milk. When treated fairly, scm saves all microelements and vitamines. so we receive not only a tasty product but a set of usefull substances.

Unfortunatelly some modern scm differs from that which was sold formerly. More often we see the news about the usage of vegetable fat while producing scm. Therefore a lot of manufacturers, including Ichnya Company with the help of their honest labour and qualified products prove that they produce safe and healthy products according to traditions and standards.

What are the differences in condensed milk?

(sweetened condensed milk of 8.5% fat) according to purely classical technology without vegetable additives. TU (technical conditions of production or permitted technology) assumes vegetable fat as ingredient in strictly limited quantities but it is also sweetened condensed milk product. Is it bad? Should the technologies be observed, obviously not.

Nearly 80% (!) of the world population can not digest milk-containing products and 40% of the world population can not resolve lactose, main milk component, according to medical statistics and these figures are growing. What is vegetable fat? It is palm oil got in natural way in the Southern Asia on the spacious plantations. It does not contain genetically modified organisms unlike soy for example and thus may be deemed as natural. Actually, GOST and TU products have only one difference of milk flavour of GOST product due to milk fats. Apparently, vegetable oil even inclusive delivery costs will be much cheaper than milk fat. Therefore, consumers have to be aware that natural GOST product will be more expensive than TU which is crystal-clear if we calculate cost of main quality ingredients, sugar and milk, in market prices.


An aim of information presented in this site chapter is to raise consumer's awareness about the product purchased by him seeing the clear differences.

Why condensed milk useful

Condensed milk is included to strategic reserve of any country like matches, salt, bread, sugar. Ukraine is not an exception procuring dozens of millions of condensed milk cans annually for the state reserve, let alone direct supplies to the army and fleet. Such attention to the product is explainable. Condensed milk contains the most crucial micro elements and vitamins for the human organism (A, B, C, D, E, PP etc), amino acids. It is made of fresh whole natural milk and its shelf life at moderate temperature shall be up to one year if the technologies are observed. It is completely digested by most people. It can not cause any known disease but for obesity and teeth cavities if abused. Thus, this milk product (8.5% fat) can not be substituted in our nutrition as whole milk products (milk-1.5% fat, kefir 0.5-2.5% fat etc). In addition, taste of condensed milk is unique for confectionery while whole milk products can not be applied in confectioneries. Difference between condensed milk and fresh milk is shelf life, fat content, sugar and the fact that condensed milk is assimilatable by everyone unlike whole milk.

What is the essence of the difference? It is the absence of living bacteria deactivated in pasteurization of condensed milk. It and presence of natural preservation agent - sugar
are the essence of difference between condensed milk or evaporated milk as it is called in some countries (due to high fat content and low water content) and conventional milk.

Wholesale
Export
Export of the company has grown more than fivefold since 2007 to 2009. Currently export department of the factory Condensed Milk Company performs wholesale trade of the condensed milk to 28 countries covering the widest possible geography.

History of condensed milk
Who invented condensed milk?

Condensed milk was invented by humble Paris confectioner whose name was Upper. It happened in 1804. Once Upper discovered that if he boiled the sealed bottle of juice, its content became durable. Milk could be kept for longer time in soldered cans which unlike glass bottles did not bursted while boiling.

In 1809 the enterprising confectioner produced a lot of food stuff in soldered cans and sealed bottles to sell them in grocer's shop named Different Food in Bottles and Boxes. This novelty impressed people, the grocer's shop was popular and the goods were always sold out. Then Upper wrote a book Art of Canning of Vegetable and Animal Substances for Long Term.

When can we celebrate birthday of condensed milk?

In 1848 recipe of condensed milk was patented in England and in 1849 American industrialist Gail Borden invented the first machine for sweetened condensed milk production.

Condensed milk was patented on August, 19, 1856 by American Gail Borden. It was accompanied with publicity campaign under slogan The Milk from Contented Cows.

The purpose of the Borden was to invent the method of making the food durable. Experiments with milk followed experiments of condensing juice, tea, meat. In 1850 Borden created meat biscuit and in 1851 he was invited to London to trade fair. On his way back he observed several children dying on the ship because of bad quality milk of diseased cows. It was the starting point for Borden to get down to milk condensing.

When and where mass production of condensed milk was launched?

In 1858 the first condensery in the world was opened in America. From the beginning of the Civil War it was produced in large quantities for the soldiers of the north. Post-war fame of Borden allowed him to organize several new condenseries, to pass the flourishing company to his sons. He died in the small Texas city named Borden after him.
 
Mh kweli kuna watu wako fit katika kugawana fursa mkuu shukrani sana wacha wengine pia waje tuone tutafanyaje
 
Tanga Fresh na ASSAS watakuacha tu?

Mkuu nadhani Tanga fresh na Asas hawatengenezi condessed milk baadhi ya condensed milk nilizo ziona bongo almost zote zimeagizwa kutoka nje-by the way usipende kuogopa challenges Tukiangalia soko la Tanzania,Rwanda,Kenya,Burundi,Zambia,Malawi unazungumzia soko lenye watu zaidi ya million 600 believe it or not hata assas au Yanga fresh unao waongea hawawezi kuhudumia soko lote hili na kwa upande wa Tanga Fresh ndo maana inaitwa Fresh maana yake wao wanatengeneza FRESH MILK hii condessed milk technologia yake ya uzalishaji ipo tofauti na ndo maana inaweza ikatunzwa mpaka miaka miwili fresh miliki almost ndani ya mwezi mmoja ina expire
 
Bwana Bulldog just fanya utafiti utagundua kuna mikoa mingine utagundua hata Tanga fresh haijafika -mimi juzi nimekuwa kada za kati zijaziona hizo bidhaa unaziongelea -kapacity yao ya uzalishaji ndigo-ofcourse ningependa kuona capacity yao inafikia hadi lita million 100 kwa siku ili kutoa ajira kwa wingi na ongezeko la kodi kwa serikali-mimi sina kinyongo kama leo Tanga frsh wataanza kuzalisha condensed milk nadhani ni bora zaidi kuliko kuagiza kwa faida ya nchi lakini kwa kuwa hakuna kwa nini tusitumie opportunity
 
Mkuu nadhani Tanga fresh na Asas hawatengenezi condessed milk baadhi ya condensed milk nilizo ziona bongo almost zote zimeagizwa kutoka nje-by the way usipende kuogopa challenges Tukiangalia soko la Tanzania,Rwanda,Kenya,Burundi,Zambia,Malawi unazungumzia soko lenye watu zaidi ya million 600 believe it or not hata assas au Yanga fresh unao waongea hawawezi kuhudumia soko lote hili na kwa upande wa Tanga Fresh ndo maana inaitwa Fresh maana yake wao wanatengeneza FRESH MILK hii condessed milk technologia yake ya uzalishaji ipo tofauti na ndo maana inaweza ikatunzwa mpaka miaka miwili fresh miliki almost ndani ya mwezi mmoja ina expire

NIDO na COWBELL ni mifano ya condensed milk?
 
NIDO na COWBELL ni mifano ya condensed milk?

Ndugu yangu lakini tunarudi kule kule kwamba cowbell na hayo mengine hayawezi kukidhi mahitaji ya population yote na badae kinacho mata zaidi quality hii kampuni mpaka sasa ina export nchi 28 duniani kwa haraka haraka inaonyesha quality si mbaya-sijajua bado cowbell imetapakaa nchi zipi-Nido nadhani ni brand ya wadenmark -jambo la msingi ni kugawana market
 
Ndugu yangu lakini tunarudi kule kule kwamba cowbell na hayo mengine hayawezi kukidhi mahitaji ya population yote na badae kinacho mata zaidi quality hii kampuni mpaka sasa ina export nchi 28 duniani kwa haraka haraka inaonyesha quality si mbaya-sijajua bado cowbell imetapakaa nchi zipi-Nido nadhani ni brand ya wadenmark -jambo la msingi ni kugawana market

All the best mkuu
 
True that! ngoja nipinde mgongo kutafta chanzo cha mtaji! Bongo kila kitu tambarare ni kujipanga tu!
 
NIDO na COWBELL ni mifano ya condensed milk?

Duh nina miaka sijaona condenced milk, Nido na cowbell ni powdered milk. Condenced milk ni liuji la maziwa zito sana zamani zilikuwa kwenye vijikopo hivi lkn sijaziona madukani kwa muda mrefu sana over 10 years.

Shida ilikuwa ukishatoboa kopo, kama huna fridge basi kasheshe. Sijui sasa wanapakije.
 
Duh nina miaka sijaona condenced milk, Nido na cowbell ni powdered milk. Condenced milk ni liuji la maziwa zito sana zamani zilikuwa kwenye vijikopo hivi lkn sijaziona madukani kwa muda mrefu sana over 10 years.

Shida ilikuwa ukishatoboa kopo, kama huna fridge basi kasheshe. Sijui sasa wanapakije.

No mbona za packet zipo -na si lazima uwe na friji na hasa haya ya packet
 

Attachments

  • packet.png
    packet.png
    6.8 KB · Views: 306
Back
Top Bottom