Wataisoma mm tayar magufuli amepata asilimia yangu maana hata watanzania wenyewe washawajua ni jinsi gan wasivyojitambua wapeni pole yao . asilimia za ushind tayar kashachukua waje labda na jambo jingne lakn kwangu hawana nafasi.
fikiri kabla ya kupost ndugu ukisema ili mtu aendelee lazma awe na GPA ya 2.7 ni wangap watabaki vyuon hapo asilimia kubwa watakuwa wanarud makwao na wanapoteza pesa xa bure inaonekana huujui mtiti wa chuo ndugu pole sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.