gambada ynwa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 394
- 376
[HASHTAG]#STUDENTS[/HASHTAG] UNLIMITED FREEDOM.
I like this
I like this
Kuna tofauti kubwa sana kati ya shule za binafsi na za serikali, aina ya watoto wanaosoma ktk shule hizo ni tofauti, hata uelewa wa wazazi nao ni tofauti hivyo kwa mwl kuwatreat wanafunzi wa serikali kama wanafunzi wa private itakuwa makosa mno! Amin. Huwezi fananisha malezi ya mtoto wa muuza karanga na na malezi ya mtoto wa mkurugenzi wa CRDBWalimu mnazidi kujidhihirisha jinsi gani mlivyo mambumbu hasa walimu wa shule za serikali. Kwanini tukio kama lile haliwezi kutokea kwenye shule binafsi?
Kwanini mambo ya ajabu tu yanatokea kwenye shule za serikali?
Hivi amuwezi kujiuliza ni kwanini yanatokea shule za serikali tu?
Sasa wewe ni mwalimu wa kiswahili halafu unaandika utumbo huko kwenye bluekuna jamaa katwita MBUMBUMBU imeniuma asante bwana
Sina hakika kama serikali inaona umuhimu wa mwalimuWalimu mkifanya hivyo mtakwamisha Tanzania ya viwanda serikali ya awamu ya tano inawahitaji walimu sana
Na wewe nilini umefanya research ukagundua hakuna mambo ya ajabu shule za private? Maana usije ukawa unatumia hisia wakati hata shule hujenda.Huo ushenzi uko wapi?
Ni lini umesikia suala la ajabu ajabu limetokea shule binafsi?
Tatizo lenu walimu wa serikali mnafanya kazi kwa mazoea
Uko sawa. Walimu watakaogoma ni wale wa whatsapp.Hiyo nini maana yake? Walimu mmeamua kususa/kununa? Unasema walimu wameamua? Walimu wa wapi hao? Idadi yao?
Ndugu usijaribu kuwakilisha mawazo ya walimu wote nchini utakuwa unajipotosha bure tu. Ngumu jambo hilo kufanikiwa. Mwalimu anayejua nini maana ya wajibu wake kwahakika atatimiza wajibu wake shule iwe sehemu salama kwa mwalimu na mwanafunzi pia. Migogoro itaendelea kuwepo na ufumbuzi utapatikana tu.....ndivyo ilivyo.
unaijua sheria ilivyo anayepaswa kumchapa mwanafunzi ni mwalimu mkuu peke yake nasio mwalimu wa kawaida viboko visivyozidi vinne au ulifahamu iloUnadhani mihemuko yako itasaidia? Eti waache kufuatilia wanafunzi wanaokosea? Kwasababu wewe "slimshedy" umezira? Hiyo haiwezekani mwalimu anayefahamu vema kazi yake/mkataba wake wa kazi atatimiza yote tu. Mark my words....siku zitajongea na walimu wataendelea kufanya kazi zao kama kawaida. Madai ya walimu wanataka kupiga kwa kudhalilisha wanafunzi hayana nguvu yatapotea kama moshi unavyopotelea angani.
nani wakusainisha!?Teh teh....kazi ipo.....
Kwa maana iyo walimu sio walez ni wafanyakaz kama wafanyakaz wengine, ni marufuku kumuita Mwl ni mlez wa mwanaoKama wanajipenda naamini hawatafanya mambo yaliyo nje ya mikataba walioingia na waajili wao. Kama Luna kipengele cha kutoa adhabu katika mikataba yao basi watekeleze tofauti na hapo yatakayowapata yanawastahili
Kama unataka walimu waendelee kuwafuatilia wanafunzi basi,nashauri waendelee tu kuwatwanga mana hakuna namna sasa na wamechoka!!Unadhani mihemuko yako itasaidia? Eti waache kufuatilia wanafunzi wanaokosea? Kwasababu wewe "slimshedy" umezira? Hiyo haiwezekani mwalimu anayefahamu vema kazi yake/mkataba wake wa kazi atatimiza yote tu. Mark my words....siku zitajongea na walimu wataendelea kufanya kazi zao kama kawaida. Madai ya walimu wanataka kupiga kwa kudhalilisha wanafunzi hayana nguvu yatapotea kama moshi unavyopotelea angani.
Peleka mtoto private huko watoto wanalelewa kama nyanya maana mwanafunzi ni mteja na elimu ni biashara, yaani wao hata watoto wakilawitiana wanafanya siri hawawachapi wanaogopa kumfukuza mteja, jiulize sasa kitakachokuja kutokea mbelenHuo ushenzi uko wapi?
Ni lini umesikia suala la ajabu ajabu limetokea shule binafsi?
Tatizo lenu walimu wa serikali mnafanya kazi kwa mazoea
Sababuni ni ngingi mambo ya ajabu unajifanya huzijuiWalimu mnazidi kujidhihirisha jinsi gani mlivyo mambumbu hasa walimu wa shule za serikali. Kwanini tukio kama lile haliwezi kutokea kwenye shule binafsi?
Kwanini mambo ya ajabu tu yanatokea kwenye shule za serikali?
Hivi amuwezi kujiuliza ni kwanini yanatokea shule za serikali tu?
Kama mwalimu ni mlezi nikwa utashi wake,halipwi ili alee bali aelekeze. Sasa kama wakati anaelekeza kukitokea mambo yanayohitaji kuwa mlezi awe makini isimtokee puani.Kwa maana iyo walimu sio walez ni wafanyakaz kama wafanyakaz wengine, ni marufuku kumuita Mwl ni mlez wa mwanao