Na mshikaji wangu Alizamia meli south Africa ilipofika libya wakadakwa wakarudishwa bongo hakarud tena south Africa wakadanda meli ikaenda kumwacha katika kisiwa cha mayote Ambacho kipo chini ya serekali ya ufaransa Aliishi hapo kama miaka mitatu kisha Akaingia ufaransa sasa yupo ufaransa...
Njoo moshi tupande mlima kilimanjaro kama pota baadae ukipata hela na uzoefu uwende mweka ukasome kozi ya kuongoza watalii ili uwe kiongozi wa msafara n.k mlima umewapa watu maisha kikubwa kukaza tu
Mimi nilikuwa lyamungo sema best yangu Mfinanga alikuwa umbwe dah nilimkuta anataka kupigwa mapanga na washikaji wa lyamungo ilibidi nimwokoe Alisepa peku peku adi town
Kuna jamaa alikuwa anaitwa radislaux alikuwa mbabe sana alikuja kufatwa na polisi wa boma alifungwa pingu na kusepa nae alikuwa na wenzie kazaa dah hatri sana kwenda kombo kula mbege ndizi na mataka taka mengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.