Piga kazi mh mbunge, hakuna wakukutoa nzenga ulichotuahidi unatekeleza wananzengo tunaimani na wewe wala usiwaze mh jimbo lako tena miaka mitano ijayo tunakupa.
Na hii yote wanajifanya wateule wa mh kwaiyo hawamuogopi kabisa wanapiga wakijua mh rais ananijua kwaiyo hawana aibu yani halmashauri upigaji ni wakutisha
Nawaonea huruma sana mnaodai hiyo halmashauri ishaoza kwa upigaji hizi pesa zimeliwa
Watu wa BVR wameanza kuboresha daftari tarehe 14 wamemaliza jana leo wamelipa pesa zao hawadai hata senti nyie mmeanza zoezi tarehe 8 kabla ya BVR hamjalipwa unafikilia nini😀😀 zimepigwa hizo pesa wamelipa watu...
Makosa ya kiuandishi kiongozi niwie radhi nimerekebisha,
Hapo umesema muhimu kalipa asilimia 50 je mahakama inaweza nigomea kushika Mali yake kisa kavuka asilimia 50 naomba msaada wako, maana nohofia kurudi mahakamani mdaiwa akasema kabanwa na majukumu apunguziwe kiwango cha marejesho ikala...
Ninamdeni wangu nilikuwa namdai nikamua mpeleka mahakamani ili anilipe deni langu tukakubaliana kimandishi mbele ya hakimu kuwa atanilipa deni langu ndani ya mwaka mmoja
Kweli kipindi cha marejesho mdeni wangu amekuwa akilipa deni lakini tangu awali analipa mwezi wa kwanza alilipa kiwango chini...
Habari zenu wadau
Niende moja kwa moja kwenye hoja miye nilizaliwa na mama yangu ila nikiwa bado mdogo wa miezi miwili baba yangu mzazi akafariki uyu baba yangu mzazi hakuwa na ndoa na mama
Kwaiyo mama alipata mwanaume mwingine badae ambaye nilimwita baba baba kwakua tulikuwa tunaishi nyumba...
mwalimu funguka walimu wanamiliki zaidi ya hizo nyumba ya milioni mia moja nakusihi kuanzia sasa badilisha mawazo amini salary yako ni dhamana usikope laki laki uende nunulia familia chakula kopa pesa nyingi ufanye mambo
Tatizo nyie walimu wengine bwana mtu anadegree moja kajiriwa baada atulie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.