Majembe majembe
Member
- Oct 16, 2016
- 34
- 10
Habari zenu wadau
Niende moja kwa moja kwenye hoja miye nilizaliwa na mama yangu ila nikiwa bado mdogo wa miezi miwili baba yangu mzazi akafariki uyu baba yangu mzazi hakuwa na ndoa na mama
Kwaiyo mama alipata mwanaume mwingine badae ambaye nilimwita baba baba kwakua tulikuwa tunaishi nyumba za kupanga ile kuhama huku mala Kule basi mitaa mipya tuliohamia walijuaga uyu baba ni baba yangu mzazi kitu ambacho si kweli ila uyo baba alinipenda na alinilea kiukweli mpaka napata ufahamu wangu nilimwita baba ingawa yeye alikuwa na mji wake mke wake na watoto wake ambao ni wakubwa zaidi yangu
Miaka imeenda kipindi umefikia umri wa kwenda shule nikaja chukuliwa na shangazi zangu upande wa baba yangu mzazi lakini kipindi niliporudi msalimia mama kijijini nilimkuta yule baba mlezi
Kwaiyo maisha yalienda hivyo mpaka miye namaliza elimu ya msingi, secondary niko kwa shangazi zangu nikapataga tarifa yule baba mlezi Kule jijini amefariki basi maisha yakaendelea hivyo hivyo
Sasa juzi nimeenda jijini msalimia mama, nimeshangaa wazee wakijiji wakiwa na mwenyekiti wa mtaa pamoja na mtendaji wananiambia bora nimefika naitajika mahakama ya mwanzo ile familia ya baba wangu wakufikia ina niitaji tukagawane mirathi nikasema hiyo mirathi mbona hainihusu wakatoa wosia wa marehemu baba wa kufikia ukionyesha kuwa baazi ya Mali endapo akifa nipewe miye
Kiukweli hii suala limenichanganya sana kuanzia miye mpaka mama mzazi sema mama mzazi umri umeenda sana na kinachonichanganya uyu baba mlezi kafariki zaidi ya miaka 25 iliyopita, na nilishaga msahau kabisa
Je hapo unafanyaje maana uyu mzee siyo baba yangu mzazi, tachukuaje Mali isiyo ni husu
Ushauri wenu muhimu sana.
Niende moja kwa moja kwenye hoja miye nilizaliwa na mama yangu ila nikiwa bado mdogo wa miezi miwili baba yangu mzazi akafariki uyu baba yangu mzazi hakuwa na ndoa na mama
Kwaiyo mama alipata mwanaume mwingine badae ambaye nilimwita baba baba kwakua tulikuwa tunaishi nyumba za kupanga ile kuhama huku mala Kule basi mitaa mipya tuliohamia walijuaga uyu baba ni baba yangu mzazi kitu ambacho si kweli ila uyo baba alinipenda na alinilea kiukweli mpaka napata ufahamu wangu nilimwita baba ingawa yeye alikuwa na mji wake mke wake na watoto wake ambao ni wakubwa zaidi yangu
Miaka imeenda kipindi umefikia umri wa kwenda shule nikaja chukuliwa na shangazi zangu upande wa baba yangu mzazi lakini kipindi niliporudi msalimia mama kijijini nilimkuta yule baba mlezi
Kwaiyo maisha yalienda hivyo mpaka miye namaliza elimu ya msingi, secondary niko kwa shangazi zangu nikapataga tarifa yule baba mlezi Kule jijini amefariki basi maisha yakaendelea hivyo hivyo
Sasa juzi nimeenda jijini msalimia mama, nimeshangaa wazee wakijiji wakiwa na mwenyekiti wa mtaa pamoja na mtendaji wananiambia bora nimefika naitajika mahakama ya mwanzo ile familia ya baba wangu wakufikia ina niitaji tukagawane mirathi nikasema hiyo mirathi mbona hainihusu wakatoa wosia wa marehemu baba wa kufikia ukionyesha kuwa baazi ya Mali endapo akifa nipewe miye
Kiukweli hii suala limenichanganya sana kuanzia miye mpaka mama mzazi sema mama mzazi umri umeenda sana na kinachonichanganya uyu baba mlezi kafariki zaidi ya miaka 25 iliyopita, na nilishaga msahau kabisa
Je hapo unafanyaje maana uyu mzee siyo baba yangu mzazi, tachukuaje Mali isiyo ni husu
Ushauri wenu muhimu sana.