Majembe majembe
Member
- Oct 16, 2016
- 34
- 10
Ninamdeni wangu nilikuwa namdai nikamua mpeleka mahakamani ili anilipe deni langu tukakubaliana kimandishi mbele ya hakimu kuwa atanilipa deni langu ndani ya mwaka mmoja
Kweli kipindi cha marejesho mdeni wangu amekuwa akilipa deni lakini tangu awali analipa mwezi wa kwanza alilipa kiwango chini ya ambacho tulikubaliana mahakamani, hilo halikunipa wasi wasi kalipa hivyo hivyo ndani ya miiezi kumi na moja huu sasa ni mwezi wa mwisho ambao inatakiwa amalize deni lake, lakini mpaka sasa kanilipa asilimia 78 ya deni lote
Nikimuuliza vipi anasema tarehe ya mwisho wa deni hili atamalizia hizo asilimia 22 zote sasa nimekuwa na wasi pengine asimalizie maana tarehe ya kulipa mwezi uliopita akunipa nauliza naweza kurudi tena mahakamani kutoa taarifa kuwa mdaiwa wangu kashindwa nilipa deni langu nishike Mali yake
Naomba msaada nisije kwenda mahakamani nikaharibu mambo maana mdaiwa lengo la kulipa naona analo ila hana pesa sema miye naitaji hiyo pesa kwa haraka sasa je naweza shika Mali yake na ili anilipe maana Mali za kushika zipo nikishika anaweza nilipa
Sasa na wasi wasi mahakama kama unaweza kataa kushika Mali zake maana kanilipa asilimia 78 na tarehe ya mwisho bado kufika ebu nisaidieni hapo
Kweli kipindi cha marejesho mdeni wangu amekuwa akilipa deni lakini tangu awali analipa mwezi wa kwanza alilipa kiwango chini ya ambacho tulikubaliana mahakamani, hilo halikunipa wasi wasi kalipa hivyo hivyo ndani ya miiezi kumi na moja huu sasa ni mwezi wa mwisho ambao inatakiwa amalize deni lake, lakini mpaka sasa kanilipa asilimia 78 ya deni lote
Nikimuuliza vipi anasema tarehe ya mwisho wa deni hili atamalizia hizo asilimia 22 zote sasa nimekuwa na wasi pengine asimalizie maana tarehe ya kulipa mwezi uliopita akunipa nauliza naweza kurudi tena mahakamani kutoa taarifa kuwa mdaiwa wangu kashindwa nilipa deni langu nishike Mali yake
Naomba msaada nisije kwenda mahakamani nikaharibu mambo maana mdaiwa lengo la kulipa naona analo ila hana pesa sema miye naitaji hiyo pesa kwa haraka sasa je naweza shika Mali yake na ili anilipe maana Mali za kushika zipo nikishika anaweza nilipa
Sasa na wasi wasi mahakama kama unaweza kataa kushika Mali zake maana kanilipa asilimia 78 na tarehe ya mwisho bado kufika ebu nisaidieni hapo