Watakiwa kuokota shs 100, 200 hata 500.
Sasa waburuza fagio kwa mbwembwe na siajabu kudeki kabisa halafu huokoti chochote basi ujuwe kazi unayo!
Mnasemaje wadau
TBC wanadhani kuwa MACHAWA ndio guarantee ya ya matumbo yao!
WANAKINAISHA MATANGAZO YAO!
HAWAKO RATIONAL
WAKUMBUKE NI CHOMBO CHA HABARI CHA TAIFA NA SIYO CHAMA TAWALA!
MIFANO IPO. WAIGE BBC CNN CBS NK NK
Acha tu mkuu! Mara PM wa England wetu! Mara Obama manyang'au wakadai wao(mpaka anaondoka KE Iko pale pale kiuchumi kama siyo kudorora)! Mara......
Ni ujinga usio na kifani!
Nina miaka 55, mfupi 5 7, mfanyabiashara, naishi Dar, Nina watoto wakubwa, wanaishi kivyao na kwa mama yao.
Nahitaji mpenzi wa kike tupendane.
Maswali zaidi uliza inbox tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.