Recent content by majebsmafuru

  1. majebsmafuru

    Ufanyapo usafi nyumbani, usipookota hata Tsh. 100 ujuwe ufukara unapiga hodi!

    Watakiwa kuokota shs 100, 200 hata 500. Sasa waburuza fagio kwa mbwembwe na siajabu kudeki kabisa halafu huokoti chochote basi ujuwe kazi unayo! Mnasemaje wadau
  2. majebsmafuru

    Meya Kinondoni Mnajenga Msikiti wa Kudumu Coco Beach

    This is Bongo! Hahahahahaha.....akili zetu ni janga!
  3. majebsmafuru

    Tetesi: TBC hakukaliki, muda wowote Zuhura Yunus anakuja na mkeka!

    TBC wanadhani kuwa MACHAWA ndio guarantee ya ya matumbo yao! WANAKINAISHA MATANGAZO YAO! HAWAKO RATIONAL WAKUMBUKE NI CHOMBO CHA HABARI CHA TAIFA NA SIYO CHAMA TAWALA! MIFANO IPO. WAIGE BBC CNN CBS NK NK
  4. majebsmafuru

    Meet Madam Judith Tuluka Newly appointed Prime Minister of DRC. Ana jina la Ukoo la Wangoni. Je, ni Mwanetu?

    Acha tu mkuu! Mara PM wa England wetu! Mara Obama manyang'au wakadai wao(mpaka anaondoka KE Iko pale pale kiuchumi kama siyo kudorora)! Mara...... Ni ujinga usio na kifani!
  5. majebsmafuru

    Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

    Hakuna cha Mwanza, Shinyanga wala Tabora! Huyu wangemtupa Kuleee! 🤬🤬🤬🤬🤬
  6. majebsmafuru

    Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere

    Hata ChukuwaChakoMapema KINDAKINDA wanaona AIBU! It's too much Kwa kweli!
  7. majebsmafuru

    Kuteua Watu walewale ni dalili kuwa nchi haina Rasilimali Watu

    ChukuwaChakoMapema wameikamata nchi, wanaiendesha watakavyo, kulindana, kupeana vyeo kama pipi, kufumbia macho uzembe, ufisadi, kutokuwajibika! Rasilimali watu ipo, ila hawataki kuwachaguwa.. Yaja 2025, je raia tutazinduka?!
  8. majebsmafuru

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Point siyo mbaya. Next game?! C O Y G GUNNERS FOREVER..
  9. majebsmafuru

    Wanaume hatufaidi ndoa, tunatumika tu kama tingatinga

    ✋👋👏🎬 Safi sana sana sana ....
  10. majebsmafuru

    Natafuta mpenzi wa kike mtu mzima

    Nina miaka 55, mfupi 5 7, mfanyabiashara, naishi Dar, Nina watoto wakubwa, wanaishi kivyao na kwa mama yao. Nahitaji mpenzi wa kike tupendane. Maswali zaidi uliza inbox tafadhali
  11. majebsmafuru

    Millard Ayo, kimetokea nini? Mbona umefungiwa Google?

    Ukiingia tu kwenye website ya millardayo.com unakutana na message hii.
Back
Top Bottom