Huyu naye?! Hatuna maji na jua kali hili, bidhaa bei mbaya, UFISADI wawa tishio, miundo mbinu yasua sua, uwajibikaji serikalini hakuna, matumizi mabaya ya serikali yanatuumiza yeye yuko na kina mange tuu?!
Bogus kabisa kabisa kabisa
🤬😡😠😤
Hawa watu WAROHO, WABINAFSI, mafisadi, wakatili...
Hawana time na raia, kero zote nchini wao hawana time?!
Kodi zetu na hela za taifa wako tayari kuchoma huko?!
Tumefikia pabaya sana sana...
FURSA KWA MA LOBBYIST...
Nawapa tahadhari wadau wenzangu humu, kuhusu jamaa wanaodai wanaotoa mikopo kwa kutumia jina la MO FOUNDATION.
KWA KIFUPI. NI MATAPELI NA MTATAPELIWA KAMA MIMI.
Website zao.
https://mohamedfoundation.site/
USIDANGANYIKE, INAFUNGUKA MPAKA WAENDA KUJAZA FORM, KUINGIZA NIDA NA VITAMBULISHO VYOTE...
Toka awe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, mh. Albert Chalamila amekuwa akitoa kauli tata sana sana sana...
Ebu tuziorodheshe...
Mnikome kama mlivyokoma maziwa ya mama zenu!
.....
Tuongezee...
Watakiwa kuokota shs 100, 200 hata 500.
Sasa waburuza fagio kwa mbwembwe na siajabu kudeki kabisa halafu huokoti chochote basi ujuwe kazi unayo!
Mnasemaje wadau
TBC wanadhani kuwa MACHAWA ndio guarantee ya ya matumbo yao!
WANAKINAISHA MATANGAZO YAO!
HAWAKO RATIONAL
WAKUMBUKE NI CHOMBO CHA HABARI CHA TAIFA NA SIYO CHAMA TAWALA!
MIFANO IPO. WAIGE BBC CNN CBS NK NK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.