The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,088
- 102,569
Roho mbaya kama mama samuya!
Khaa...!
Alokuambia jina langu ni la kutafuta mpenzi naniShida nini mkuu?
😀 😀
Mimi sijakutajaAlokuambia jina langu ni la kutafuta mpenzi nani
Missnatafuta manakenatafuta hela bwana
Nimekumbuka kitu naishia kucheka tu hapa 😂😂🤣🤣Simple and clear
Lakini ushauri wangu kwa wanaotafuta wenza! Msifunguke direct kama mnataka mchumba/ mke/mume nk! Natambua nia ni njema lakini ukija direct hivyo mhusika ataficha makucha mengi
Nashukuru lakini huyu ananifaa SanaMimi sijakutaja
Nimerespond tu comment ya Manjagata na kumsaidia kukutag.
Naja FASTA kama kipepe!Njoo mkuu
Msimu wa sikukuu huu utanifaa
Karibu mkuuNaja FASTA kama kipepe!
Amesema ana nyege au nmesoma vibaya 🙄Ngoja nimuite Binti wa zamani huenda akaokota dodo hapa,
Mkishindwana hebu mcheki BICHWA KOMWE -
Evelyn Salt una lolote la kuchangia hapa? binti kiziwi umeisoma mada lakini?