Miaka yote umekaa kimya bila kuongea huo unaosema ni ukweli....baada ya kupewa mlungula na mzee Dialo leo unajifanya unajua na utaongea ukweli,SUBIRI HUKUMU YAKO WEWE NA MAGAMBA WENZIO,SHAME ON YOU.
Kwa wanafunzi wote mnaosoma hizo combination tatu au una mwanao anasoma mojawapo kati ya Comb hizo,tunatoa private tuition kwa ubora wa hali ya juu na kwa bei nafuu sana....Hii ni special kwa wale mlioko Dsm tu na utafikiwa popote ulipo.Mwenye uhitaji ani PM kwa maelezo zaidi.
Tangu niingie chuo naona luna uhusiano mkubwa san kati ya hii bank na loan board. Hii ni wazi kwa sababu watu wa Crdb hutangulia kupata hela kuliko bank nyingine but inabore pale transactio inavyochukua hadi week wengine kupata hiyo hela. Hivi ni kweli board huandika cheque za Crdb tuuuuuuuu ? I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.