Recent content by maisha03

  1. M

    Mimi nawatamani Wanafunzi, Nifanyeje ili niache?

    Valisha mkeo uniform au mpenzi wako tena na soksi za punda milia azidi kuone kana bebi
  2. M

    Hizi ni ndoto hatari sana maishani mwako

    Mkuu Bujibuji! Ehe na ukiota unatapika makamba marefu hayakatiki nayo tafsir yake nn?
  3. M

    Tanzia: Mwanachama mwenzetu wa JamiiForums, Msamiati afariki dunia

    R.I.P Msamiati. Inna lilah wainna ileih rajuun!
  4. M

    Mafuta mazuri kwa uso wa mafuta

    Golden touch me siijui bt pond cream ninaifaham na ninatumia
  5. M

    Mafuta mazuri kwa uso wa mafuta

    Tumia pond cream (very oil). Ni nzuri haikubadilishi rangi utavutia tu. Gudluck
  6. M

    Gharama ya kujenga chumba na sebule master

    Kwa ufupi haitoshi ndugu! Bt unaweza anza kidogo kidogo. Nunua material weka site au wekeza kwenye duka la vifaa vya ujenzi kidogo kidogo ukihakikisha una material zote tafuta hela ya fundi anza ujenzi. Kujenga inawezekana na hakuna muujiza ktk kujenga. Usiogope unaweza kujenga zaidi hata ya...
  7. M

    Ushauri: Nataka kujenga kwa mkopo wa Tsh 40,000,000/=

    Unajenga mkuu lakin cha kufanya ni kujenga nyumba ndogo. Ukitaka fundi nipm nikupe no za mafundi wazuri waaminifu hata mimi wamenijengea bila mashaka mashaka
  8. M

    Hodi

    Ingawa nishachangia baadhi ya nyuzii. Naomba kuingia humu wana jamvi! !!
  9. M

    Ni halali kupokea simu ya mumeo/mkeo akipigiwa?

    Duuu. Yangu kupokea tu ni shida vitu vingine vinatia uvivu. Mimi sipokei wala sioni sababu ya kupokea. Kuku wangu manati ya nini? Kulinda bahari kuna wenyewe!
  10. M

    Kero: Korongo lililopo kona ya kituo cha Chama kutokea Tabata Bima litatuua!

    Yani mambo mengine yapo wazi lkn mpaka watu wapige kelele mitandaon au tufe ndio labda wahusika wataelewa lina madhara. Au wanasubir Tsunami iliyotangazwa isombe hicho kipande kilichobaki
  11. M

    Mafuriko ya Mh.Lowasa yaisimamisha Chato ya Magufuli hivi leo!!

    Kikubwa ni kutoa elimu ya jinsi ya kupiga kura. Vijana na mihemko yao watie tiki panapohusika na wasiandike chochote hata nukta wasije wakaharibu kura zao
Back
Top Bottom