Kweli wewe msukumaUmechemka vibayaaaaaa!!
Pamoja na kuwa na jina la Kisukuma lakini hujui Kisukuma, pole sana!! Matunge maana yake ni Popo (wingi). Misukule mama ni Mitunga.
Siyo kazi yako hiyo period. Unajuaje kuwa hakutubu? Unajuaje hakumwamini na kumkiri Yesu? Wewe hangaika na wokovu wako na achana na waliotangulia mbele ya haki. Unajua hata marafiki wa yule jambazi aliyesulubiwa pamoja na Yesu akaokolewa dakika za mwisho pale Golgotha wanaongea kama ww kwamba msela alienda motoni? Mwacheni Mungu Aitwe Mungu!