Kwa wale wanaofundisha shule za Dar es salaam huu ni ujumbe kwenu. Fanya kazi sana lakini ujue hakuna bosi anayejali maslahi yako, utafanya kazi kama punda, sifa zote kwa mwenye shule.
Kuna shule hasa hizi kubwa kubwa wafanyakazi hawafanani na ukubwa wa shule, mfano unakuta waalimu wamechoka...
My young sister ana div one ya 12pts niliwahi kumuuliza second president of Tanzania hakunijibu ila ajabu ana A ya civics,,,,,,halafu uwezo wake naujua kwa div hyo hapaana tunadanganyana
Na hayo ndo matokeo ya wanaume hata paper zao ukisolve zilikua balaaa. Hiyo 2012 form 4 paper zilikua kawaida Sana sema usahihishaji na nature ya wanafunzi
Bila kusahau molecular biology unaeza fundisha watu Wa MD biochemistry ref. Dr Thomas Marandu yupo udsm department ya biochemistry college ya afya ila pigs msuli mnene
Da wale watu hawafai kipindi hicho huku zl121 bakuza + gamba Kule zl122 Howell palikua hapatoshi, kuna mama mmoja alikua anaitwa rugumamu( kama sijasahau au rweyemamu) walituendesha balaaa bila kumsahau gamba, but at the end tuligraduate japo wengi walichomoka humo njiani pale conas ni kama...
kwanza huyo jamaa awe anafuatilia nyuma ya pazia kuna nini? pearl harbour inavamiwa wakat kiongozi wa japan yupo usa na secretary of state kwa mazungumzo hivyo japan ni kama.alivizia pia ikawa sababu muhimu ya usa kuingia vita ya dunia , halafu kuna documentary moja inaeleza kuwa lile tukio USA...
umeme una speed ndogo sana huwa tunaita drift velocity yani zile electrons ni kama zinagongana kusafirisha current so effect yake inasambaa haraka sana
Ila mwanga upo kwenye kundi moja la waves zinaitwa electromagnetic radiations na zote zina sifa moja ya kuwa na speed moja ya 300000000m/s ila...
unachangia jukwaa lenye watu tofaut na level tofaut za kielimu kama hujui ni bora ukae kimya hapo kwenye proton na electron kasome models hizi bohr atomic model na quantum atomic model utaelewa ndo urudi kuchangia tena!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.