Recent content by mairacom

  1. mairacom

    Mwanza: Mwandishi wa Habari, Albert Sengo Kizimbani akishtakiwa kutoa maudhui mtandaoni bila ya kuwa na leseni

    hii tanzania banaa serikal imeona kama ndio sehemu ya kujipatia kipato,si bora hiyo pesa youtube ndio waseme kuwa walipwe wao.huu ni unyanyasaji wa wadhi kabisa,na hii ni sehemu ya kuwanyima uhuru watu. hii sio sawa kabisa.
  2. mairacom

    Rostam Aziz amkabidhi Spika Ndugai mashine ya kuwapulizia wabunge dawa ya kuua virus ili kudhibiti Corona

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 zitto zuberi kabwe aiseee tunaitaji sana watu wenye kujitia muhanga kama hawa,ukiweza kuthubutu basi ww umekamilika.
  3. mairacom

    Spika: Mazishi ya Mama Rwakatare yatahudhuriwa na watu wasiozidi 10, Serikali itasimamia

    chinchilla coat, ishara hiyo inamaanisha nini?tuamini kuwa amefariki kwa ugonjwa wa moyo peke yake?
  4. mairacom

    CoronaVirus: Pierre Liquid athibitika kupata maambukizi ya Ugonjwa wa COVID19

    Kama ni kweli sawa pole yake ila kama ni comed na serikal wameamua kufanya hivyo ili kuwatisha walevi watakuwa wamekosea sanaaa,na hapo ndipo watawafanya watanzania waufanye huu ugonjwa kama sehemu ya siasa tu, baadhi ya vijiwe bado wanauingiza huu ugonjwa kama siasa tuu hakuna hatua ambayo...
  5. mairacom

    CoronaVirus: Pierre Liquid athibitika kupata maambukizi ya Ugonjwa wa COVID19

    😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂 watu wanakimbilia mikoani na familia zao,hapa natafuta shamba nichukuwe familia yangu tukakae huko hata miezi 3.
  6. mairacom

    Muhimbili yakanusha taarifa za uzushi kuwa muuguzi wake amefariki kwa Corona

    na je kama ukisikia kuwa watakao husika katika mazishi ni serikali kitengo cha afya na ndugu wa kalibu watakuwa kwa mbali,hapo utaitaji degree kujuwa mtu huyo amekufa na marelia?
  7. mairacom

    Muhimbili yakanusha taarifa za uzushi kuwa muuguzi wake amefariki kwa Corona

    Sawa tutazipuuza lakin,swali muuguzi huyo tayari ameshazikwa?na kama tayari je maiti yake wamepewa ndugu wazike na kama bado tutaona nani atawajibika kuzika huo mwili!!! tanzania hii huu ugonjwa unaweza ukatuathiri vibaya sana kama viongozi watakalia ukweli.badala ya kuweka wazi bayana hali...
  8. mairacom

    Historia ya Remmy Ongala

    mimi napenda sana wimbo wake wa Dodoma na Kifo.
  9. mairacom

    Zanzibar yatangaza wagonjwa wapya 23 wa COVID-19. Idadi ya maambukizi yafikia 58 na 170 kwa Tanzania ( 19.04.2020 )

    s sawa pamoja na kuomba mungu lakin ugonjwa huu sisi wenyewe ndio tutauwana.
  10. mairacom

    Zanzibar yatangaza wagonjwa wapya 23 wa COVID-19. Idadi ya maambukizi yafikia 58 na 170 kwa Tanzania ( 19.04.2020 )

    Hakimu Mfawidhi, Unajuwa shida ipo kwetu sisi watu wa tanzania tumekuwa na dharau sana,kiasi hata cha kudharau afya zetu.najiuliza mtu upo nyumbani unaumwa lakin akili ya kufikiria nijisogeze hosp kwa afya haswa kulingana hali ya sasa mtu anawekwa nyumbani anauguzwa nyumba tumekuwa na...
  11. mairacom

    Ujerumani: Munster ni mji wenye basikeli mara mbili ya idadi ya wakazi

    😁😁😁😁 mi nilijuwa ni tanga tu ndio kuna baiskeli nyingi zaidi,
  12. mairacom

    Coronavirus: Klabu za ligi ya Premia zimeamua kwamba zitaendelea na ligi hiyo lakini hazikutoa tarehe rasmi

    Ni furaha yangu kuona haki itatendeka.hakuna anaepinga kuwa corona imekuwa ni virus hatar sana duniani kote.laki n ukweli ni kwamba cha kaisali tumpe kaisali na kilicho cha halali kwako basi kibakk mikonon mwako,kama ligi ingefutwa manake ukweli hakuna timu ambayo ingeumia sana kama...
  13. mairacom

    Gazeti la Mwananchi online lafungiwa miezi sita na kulipishwa faini milioni 5 kwa kupotosha

    unajuwa bado nipo kwenye maamuzi ya serikali kulifungia gazeti la mwananchi.u najuwa naamin kabisa kuwa kuna kinachoendelea nyuma ya pazia tusissma tu kuwa gazeti lina ukosoa uwongozi wa awamu ya 5 sio kweli,gazeti ni chombo cha wazi,kila mtu anasoma,sitaki kuamin kama amekaa mtu mmoja na akawa...
  14. mairacom

    Gazeti la Mwananchi online lafungiwa miezi sita na kulipishwa faini milioni 5 kwa kupotosha

    natamani sana kuijuwa hiyo habari ambayo iliandikwa.manake siku hizi ukiandika ukweli,basi wewe upo kwenye hatari,ukisema ukweli upo kwenye hatali,unajuwa tunanyimwa sana uhuru wa kuongea na uhuru wa vyombo vya habari.
  15. mairacom

    Historia ya Remmy Ongala

    hii safi sana,historia kama hizi za watu ambao walikuwa nisehemu ya kulipa taifa heshima lazima zithaminiwe,hii itafanya hata watoto zetu wanajuwa kuwa kumbe kulikuwa na watu kama hawa hapa nchini kwetu.inatia raha na faraja kwa vizazi vinavyo endelea kuzaliwa.
Back
Top Bottom