Recent content by mair erasto

  1. mair erasto

    Ndege ya kivita ya Urusi yandoka huko Syria na kuua watu 32.

    Urusi anapigana vita kwa hasara
  2. mair erasto

    Dawa ya tumbo kujaa gesi na kuungurumaa

    Mkuu hapo utakuwa una minyoo.
  3. mair erasto

    Familia ya Akwilina yataka uchunguzi wa kifo ufanyike na ripoti itolewe haraka

    Kama serikali ilikula pesa za waathilika wa tetemeko. na ikala pesa za lambi lambi. Sijui Kama hao wanaweza kuambulia chochote.
  4. mair erasto

    CHADEMA inaendeshwa kwa kutumia mbinu za ujasusi za Yericko?

    Ccm inapoteza muda wake mwingi kufikiria kuiua chadema kuliko kufikiria kuwaletea maendeleo wananchi.
  5. mair erasto

    Mvua ndiyo inayostawisha mazao, sio miungurumo ya radi!!

    Radi zinapiga wakati jua linawaka. basi tunaweza tukawa tunaongozwa na washirikina.
  6. mair erasto

    DAR: Mbunge wa Mikumi Joseph Haule (Proffesor Jay) CHADEMA,avunjiwa nyumba yake

    Huyu bwana hadi muda wake uishe atakuwa ameua watu wengi sana kwa presha kwa kuibomoa tanzania. Na kibaya zaidi Huyu bwana yeye anacho jua ni kubomoa tu.
  7. mair erasto

    Vyama vya siasa vya Marekani havina jezi

    Sio kila kitu kinacho fanyika marekani kinaweza kufanyika na tanzania. kwa sababu kwanza wao wametushinda vitu vingi kimaendeleo ya kiuchumi na kifkra.
  8. mair erasto

    Tecno W3 imezima

    W3 hizo simu zimekuwa ni mbovu isivyo kawaida.
  9. mair erasto

    Mkemia Mkuu aeleza kuhusu matumizi ya kipimo cha mkojo

    Ni vigumu sana kuwaamini wataalamu wengi wa siku hizi kwa sababu wengi utaalamu wao wameuingiza kwenye siasa.
  10. mair erasto

    Tanesco yadaiwa billion 860 za umeme

    Kuna kampuni moja hivi nimeisahau jina kidogo tanesco wamewahi kuwaagiza mitambo ya kufua umeme wale jamaa waliileta mitambo na walipo ileta ile mitambo tanesco lile swala ndio wakalipeleka bungeni. na bunge likakataa kuinunua ile mitambo. Na tanesco walicho sema ni kwamba wao wanasikiliza...
  11. mair erasto

    Dunia isimdharau Kim Jong-un

    Cheza na watu wote lakini sio muamerika.
  12. mair erasto

    Wizara mbili hazina Mawaziri na shughuli zinasonga

    Kwa hii serikali ambayo haipendi kufuata sheria hata kuwa na waziri mmoja inawezekana.
  13. mair erasto

    Nape na Nyalandu mjiandae kisaikolojia kufutwa

    Mwanaccm yoyote yule ni mfungwa aliye huru ccm. Nape na nyarandu wakifukuzwa ccm kwanza itabidi washukuru kwa kufukuzwa kifungoni.
  14. mair erasto

    Mbunge wa CCM Lazaro Nyalandu anavyocheza na akili za CHADEMA

    Wakati mwingine ubinadamu ni bora kuliko siasa.
Back
Top Bottom