Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Habari za jumamosi
Huenda Chadema inazama Kwa kutumia habari za intelijensia za "kachero" Yericko Msambatavangu toka Tanangozi aliyejipachika ubini wa Raising wa kwanza wa Tanzania.
Sishangai leo intelijensia ya Chadema imekuwa mdebwedo kiasi cha kutegemea taarifa za "jasusi Yericko" ndio kifanye maamuzi.
Huyu kijana na wenzie wamejenga utaratubu wa kumiliki akaunti lukuki zinazitumia majina tofauti mara kwa mara huanzisha mada na wachangiaji wa mwanzo huwa wenyewe kwa maigizo ya kumsifia mtoa Mada.
Kama Chadema imefikia hatua ya kutumia taarifa za intelijensia toka kwa "jasusi Yericko Msambatavangu" kifo kwa chama hiki ni dhahiri.
Huenda Chadema inazama Kwa kutumia habari za intelijensia za "kachero" Yericko Msambatavangu toka Tanangozi aliyejipachika ubini wa Raising wa kwanza wa Tanzania.
Sishangai leo intelijensia ya Chadema imekuwa mdebwedo kiasi cha kutegemea taarifa za "jasusi Yericko" ndio kifanye maamuzi.
Huyu kijana na wenzie wamejenga utaratubu wa kumiliki akaunti lukuki zinazitumia majina tofauti mara kwa mara huanzisha mada na wachangiaji wa mwanzo huwa wenyewe kwa maigizo ya kumsifia mtoa Mada.
Kama Chadema imefikia hatua ya kutumia taarifa za intelijensia toka kwa "jasusi Yericko Msambatavangu" kifo kwa chama hiki ni dhahiri.