DU, kugundua kuwa tulibugi umechelewa, wachache tuliliona hilo mkatuona wajinga, sasa ndo mtajuta wakati kumepambazuka, General Waitara aliposema jk hawezi kuwa rais si mlimwona mjinga, sasa yametutokea puani, lakini hata yeye haponi, Mungu si mjinga naye atapata joto la jiwe, hawezi kuwa salama...