JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

Hili la Malawi kudai ziwa Nyasa lilishawahi kuibuka mwaka 1979 wakati ule Rais alikuwa Nyerere tena ilikuwa ni baada tu ya kumng'oa Iddi amin.
Alichofanya Nyerere ni kupeleka majeshi mpakani mwa Tz na Malawi cha ajabu Wamalawi hawakuendeleza chkochoko mpaka leo ndio wameamua kulianzisha tena.
........wameshagundua udhaifu wetu, sisi ni kuzima maandamano tu na kupiga ulimboka........ na kila mtu ni mfanya biashara pale alipo, ikiagizwa rada tunaleta feki ndo maana mama anatudharau kwa sababu yupo serious sio sisi kuchekacheka na kusubiri kuoteshwa urais, ......WASIRA baba chukua fomu, hatuangalii sura sisi safari hiii, tumechoka kuaibishwa.....
 
hivi haka ka malawi kanasumbua nn, ni kukabamiza tu, when it comes to National interest esp. hili la mipaka ya nchi
hakuna kukenua meno, ni kipigo tu, hakuna kubembelezana hawa malawi wanataka ziwa lote dawa ni kuwapiga na sisi kuchukua ziwa lote, wakome...
 
hivi haka ka malawi kanasumbua nn, ni kukabamiza tu, when it comes to National interest esp. hili la mipaka ya nchi
hakuna kukenua meno, ni kipigo tu, hakuna kubembelezana hawa malawi wanataka ziwa lote dawa ni kuwapiga na sisi kuchukua ziwa lote, wakome...

Will never happen to Jk!
Usishangae mkuu wetu akamzawadia Bi Joyce ardhi yetu!
Mmesahau jinsi mkuu wetu alivyo na aleji na visketi?
 
Jamani nilichogundua ni kwamba, waTz tunafanya mambo kimya kimya waulizeni watu walioko Kyela watawapa info kuhusu vikosi vyetu. Jana na juzi hapa mbeya yamepita magari ya jeshi kibao sio lazima muambiwe kwamba tayari vikosi viko kule.
 
Huwa nawaza kama kweli Kikwete alipitia jeshi na akafuzu!
Chochoko za malawi zimeanza mda mrefu sana karibia mwaka sasa and we are still backing them na mazungumzo while washadeploy speed boats radar na ndege
 
Wadau tumieni busara na si siasa .Mwalimu wakati anatangaza vita ya kagera alisema ''Idd amin tumeanza kumuadhibu kwa kkumlaani na kumsema kwa mataifa mengine''.

Na sasa vile vile tuko kwenye stage ya mwanzo kabisa kwenye mazungumzo ,hatuwezi kusumbua jeshi kwa nchi ndogo kama hii kuna wakati utafika na si sasa.

Wadau acheni uchochezi tusiingize siasa kama ni siasa subirini 2015 wakati wa tutakapo ichukua hii ikiwa haijaingia vitani.
 
Chambo wanahitajika,chambo wanatafutwa,kwa wasio na ajira kuna shavu hapo
 
tusitamani vita kama wanaweza kumaliza tatizo kwa aman ni jambo jema kwa nchi zote
 
Tunacho kikosi imara pale Kyela tangia enzi za Nyerere. Huwa nawaona wanafyeka majani baadae wanacheza draft wakisubiri mtu akatishe uwanja wa jeshi wamsulubishe. Ukienda Itungi port utakuta kuna kaboat ka zamani sana ambako hurusiwi kukapiga picha eti ni kifaa cha kivita. Sina uhakika kama hata mafuta ya patrol yanatolewa na serikali maana sijawahi kuiona katikati ya ziwa.

Nafikiri huyu mama wa Malawi atatuamsha usingizini sasa.

JK kama utahitaji askari wa akiba, naomba unihesabu mimi, maana tangu nimetoka JKT sikamua triga wala kuosha mtutu kwa mdeki.
Na mie na jiunga nawe bro Jk naomba unihesabie Kwenye jeshi pliiz Ni siku nyingi sana sija pull trigger
 
" the 1982 un convention on law of the sea that stipulates that in case nations are bordered by a water body (sea or lake), the border of the two nations will always be on the middle of the water body."
what if there is a treaty to the contrary?
 
Malawi inatoa wapi kiburi cha kutangaza sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ni sehemu yake?hivi si kwamba sisi tumezembea mipaka yetu hadi jirani wameona udhaifu wetu?Hivi enzi za Mwalimu Nyerere Malawi wangethubutu?Kimsingi hata nchi jirani wameona udhaifu wa aina ya Uongozi tulio nao,uongozi hata kwenye mambo ya msingi unasema upepo utapita......
Mkataba wa 1890 kati ya mjerumani na mwingereza "To the south by the line that starts on the coast of the northern border of Mozambique Province and follows the course of the Rovuma River to the point where the Messinge flows into the Rovuma.

From here the line runs westward on the parallel of latitude to the shore of Lake Nyasa. Turning north, it continues along the eastern, northern, and western shores of the lake until it reaches the northern bank of the mouth of the Songwe River".
 
itabidi tuingie Malawi tuikalie kwa muda ndiyo watashika adabu kidogo.
Vita siku zote ni moja kati ya mambo yanayosaidia kurekebisha uchumi,
Watu wanakufa heshima inarudi historia inajiandika upya.

Si ziwa tu wanataka kipande kikubwa cha Ardhi Eneo lote la Kyela na Tukuyu wanyataka pia.
Kwa hiyo wanyakyusa jiandaeni kuwa Wamalawi.

Bakili Muluzi tumemuhifadhi pale upanga miaka kibao leo wamejinafasi wanataka kuongeza ukubwa wa ardhi.

Hapo nilipo-bold kwa Tanzania ni kinyume chake na ndio maana mpaka hivi sasa serikali inasema vita vya kagera vimerudisha Taifa nyuma.
 
ni wakati muafaka wa kuing'oa ccm madarakani! Vita ya ndani na nje! Natamani huyo joyce banda afanye haraka ili vijana tumpe support. Ni bora tupoteze ziwa nyasa lakini tukaokoa raslimali nyingine zinazoendelea kuangukia mikononi mwa mafisadi wachache!!

hazikutoshi, huu ni muda wa kuonyesha uzalendo na kusahautofauti zetu! Sio muda wa siasa. Tanzania kwanza!
 
Malawi inatoa wapi kiburi cha kutangaza sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ni sehemu yake?hivi si kwamba sisi tumezembea mipaka yetu hadi jirani wameona udhaifu wetu?Hivi enzi za Mwalimu Nyerere Malawi wangethubutu?Kimsingi hata nchi jirani wameona udhaifu wa aina ya Uongozi tulio nao,uongozi hata kwenye mambo ya msingi unasema upepo utapita......
Wala siafiki jeshi kwenda kutetea uongozi dhaifu kama huu. waache wachukue tu.ni bora kwani uongozi wenyewe hauwajali watu wake, ikiwezekana walianzishe kama idi amini powa tu, cha kufia nini.

Uzalendo ule wa vita na uganda ndugu yangu nikwambie haupo tena, na ndio maana hawezi kufanya hivyo kwanza hata uwezo wa jeshi letu uko chini sana.

Huo ndo ukweli usishangae hata ziwa tanganyika halina ulinzi wa kutosha ndo maana kila kukicha majambazi wa zaire wanapora wananchi watakavyo. kwa ufupi ulinzi na usalama wa nchi hii umebadi kwa rehema za Mungu tu.
 
wanafisadi nchi mpaka wamesahau ulinzi.....wanatafuna tuuuu....ni viiongozi wa ajabu sijawahi kushuhudia, yaani jamani nchi ipo ipo tu!!!!!!!!!!!!!Hakuna kitu kilicho sawa sawa kila kitu kipo mrama
 
Naomba jk hii vita amuachie mama salma..Rais wetu tutamshushia heshima yake akianza kubishana na yule mama wa malawi...kwanza rais wao ni wa kuteuliwa bora jk aliiba kura
ndo mwone sasa, kuwa kiongozi wenu alivyo dhaifu, kwa kupigwa mkwara na Mama wa malawi. Yule mama ni strong mara mia ya Jk wenu....haaaa haaaaa. ana msimamo na anaweza akawajambisha msimdharau kwani alidhubutu kumfukuza kazi mkuu wa polisi na jeshi sio wa mchezo ooooh!
 
Mlimchagu wenyewe tena kwa mbwembwe kuuuuuuuuuubwa! Na bado mnamwona yeye na chama chake ndo kinafaa kuendelea kutawala.....msilalamike jamani......ndo chaguo letu mliona ndo bora....sasa wengine watakuwaje?
 
Back
Top Bottom