Swali ulijijisikiaje ulipogunduaa mume wako anakusaliti kwa mara ya kwanza?
Je ulifanyaje ukasahau na mkaendelea na maisha na upendo ukabaki pale pale?
Ilikuchukua muda gani kuizoea hiyo hali na kurudi kawaida?
Naombeni kuwasilisha mada mezani.
Nimeanzisha ujenzi vyumba vya wapangaj nyumba ipo L, fundi wangu kanishaur kama nondo ni bei nitumie wire kufunga lenta ya msingi ...je kwa watalaam ninnaweza tumia wire kwa msingi alafu lenta ya juu nikaweka nondo isilete shida?
Mungu muache tu aitwe Mungu nilifight nilienda chuo kwa hasira huku mtoto ananyonya....imagine unalala night vitanda vya wagonjwa nalaza mtoto hapo ...Mungu akanisaidia mwaka Jana nikapata ajira....
Mkewe alikua na cheti feki katumbuliwa...Mungu muache tu
Naomben mnisaidie nifanyeje?
Mimi Ni mama wa mtoto 1 ana 5yrs
Nimeolewa ila mtoto nilizaa na mwanaume mwingine kabla sijaolewa yupo nyumban,
Sasa moyo unaniuma kwel mtoto kumuacha kwa mama nimeshindwa kuzoea maana niliishi na mtoto wangu kabla
Niliteseka maana nyumban mzee alinitimua...
Jaman mi nadhan ninamapungufu tu Yan hata bint wa dukan akikosea siwez kumwambia nikiondoka ndio namuandikia sms hiki sijapenda yan Sina ujasir wa kumwambia mtu kitu ...sijui ninatatizo gani mtu akinifanyia kitu naumia tu nachofanya nampigia mama namueleza hata masaa 3 badae nakua na Amani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.