Mrejesho....nimwambie mjomba wake?

Mrejesho....nimwambie mjomba wake?

Hapana wasukuma hatupo ivo,wasukuma tuna heshima sana hasa katika vyumba ambavyo ni kama vya walezi ua haukuna mambo yanamna io.
inawezekana labda wao ndo walivolelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kbs wasukuma hatupo hivyo, kwanza baba wa familia hawezi ingia kwenye vyumba vya watoto ovyo ht km ni wa kiume. Lazima awaambie kuwa sasa anaingia humo chumbani.
Sio bure, hapo kwao kuna jambo na huenda yuko n bi mdogo bila kujua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo tabia ipo ukweni kwako lakini siyo usukumani,wasukuma hatuna tabia za kiswahili.

Never say never
 
Mwenye hii ID amepitia magumu sana...nimeangalia nyuzi zake za tangu mwanzo huko yani ni matatizo matatizo na yeye

Sijui tatizo liko kwake ama kwa anaokutana nao...kama ni ya kweli haya yote pole yake
Huenda yeye ndio tatizo, haiwezekani kila mtu kwake yy ni mbaya tu. Yeye ndio wa kulalamika tu kila mara. Atakuwa na gubu, lkn pia anatakiwa ajue mtu ukishakuwa na familia na space kubwa lazima ndg watakuja tu.
Sasa ikiwa kila ndg ni mbaya tu mbona kazi ipo, na isitoshe hakuna mkamilifu. Kila mtu ana ubaya wake na uzur wake. Asipoangalia ndoa itamshinda mapema tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mtoa mada anaona binti mwenye 25 ni mdogo...sasa anashindwaje kumdhibiti anayemuita mtoto
Atakuwa ni wale watu wa kukasirikia ndani kwa ndani, anabaki na kisirani bila kuongea kwa kumaanisha na kukazia kbs kuwa hii tabia hapa kwangu sitaki!!!.
Akija huku ndio anayatoa hayo ya moyoni yaliyomkaba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa ni wale watu wa kukasirikia ndani kwa ndani, anabaki na kisirani bila kuongea kwa kumaanisha na kukazia kbs kuwa hii tabia hapa kwangu sitaki!!!.
Akija huku ndio anayatoa hayo ya moyoni yaliyomkaba

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni hivyo kweli anafeli manake hata akipewa ushauri huku akirudi katika uhalisia wake hafanyi chochote
 
Kama ni hivyo kweli anafeli manake hata akipewa ushauri huku akirudi katika uhalisia wake hafanyi chochote
Kama ni mtu wa kufunguka inakuwaje kwa ishu ndogo km hii anakuja kuilalamikia huku?
Na huyo ni mtoto wa wifi tu, siku akja wifi wenyewe au mama mkwe si ndio itakuwa balaa huku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni hivyo kweli anafeli manake hata akipewa ushauri huku akirudi katika uhalisia wake hafanyi chochote
Jaman mi nadhan ninamapungufu tu Yan hata bint wa dukan akikosea siwez kumwambia nikiondoka ndio namuandikia sms hiki sijapenda yan Sina ujasir wa kumwambia mtu kitu ...sijui ninatatizo gani mtu akinifanyia kitu naumia tu nachofanya nampigia mama namueleza hata masaa 3 badae nakua na Amani maisha yanasonga
 
Dooh mtahani huo....ukitaka kuishi mda mrefu kuwa doncare tu lasivyo utakufa cku c zako

am better here
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom