wapogie hawa:
Social Security Regulatory Authority- SSRA
Alfa House 2nd & 3rd Floor,
Plot No.25; New Bagamoyo Road,
P. O. Box 31846,
Dar es Salaam,
Tanzania
info@ssra.go.tz
+255 787 498 475| +255 22 276 1689
www.ssra.go.tz
Tuachane na itikadi za vyama tujali maslai yetu.habari za ccm,chadema,cuf, n.k waachieni wenyewe sisi kazi yetu kuchagua nan anafaa.kama MTU alikaa madarakani katika ngazi yeyote ile s/mtaa,udiwan,ubunge na uraisi hajakufanya alicho ahidi hajatulete maendeleo nikupiga chini tu bila kujali chama...
Labda ni waambie ndugu zangu kitu kikubwa kinachofanya tusiendelee ni sisi wenyewe wananchi,tunaitikadi zaidi za vyama tunasahau maslai yetu.tunaacha kuchagua viongozi sasa hihi ambao watatuletea maendeleo tunachagua vyama.
Mjomba kusini kume sahaulika kabisaaaaa hadi kesho na kesho kutwa wala usiseme chochote.ukitaka kuamini ninachosema nenda Ruvuma pale kafanye tasmini utapata jibu.
Mtwara kume pata nafuu kwa sababu katika miaka 20 imepata viongozi wa ngazi za juu wanaotokea mtwara na wenye uzalendo na mkoa wao...
Tatizo mtu wa mwisho anayekuja kuumia ni nani?mwisho wa siku anayelipa VAT ya kodi ya nyumba atakuwa ni mpangaji.mwenye nyumba ataongeza bei ya pango kwa wapangaji wake,akiona anasumbuliwa sana anaacha kupangisha,sasa sijui serikali kama imeisha andaa nyumba kwa ajili ya kupangisha watu.
Nahitaji elimu juu ya biashara ya mbuzi kutoka kwa watu wenye experience na biashara hiyo.
1.ununuaji wa mbuzi Mikoani na kuleta dar es salaam.
2.Mikoa yenye mbuzi wengi.
3.Masoko ya mbuzi dar es salaam na nje ya Tanzania.
4.usafirishaji wa mbuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.