Recent content by Mahenye

  1. Mahenye

    Ex wangu nenda, nakutakia maisha mema

    james nkwabi, Hakufai huyo ndugu yangu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Mahenye

    Natafuta mchumba wa kunioa

    Sawa.Mungu akupe mume mwema Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mahenye

    Message ya kuomba kunywa chupa moja ya wine ilivyo mpagawisha hadi akanitunuku bikira yake

    Hazard CFC, Baba umetisha[emoji1][emoji1] Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Mahenye

    Kweli tumeadimika wakuu, hii imenishangaza sana

    Hatujaadimika,sema nn uchumi umebana hivyo bc wanaona bora wame za watu maana kwa madai yao wanajua eti kujali[emoji16][emoji16] Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Mahenye

    Kuna clip inamuonesha jamaa anagalagala chini huku akilalamika kuachwa na Hamida

    Mwanamke hata kama hujamuoa ili mladi unamtafuna kua nae Makin muda wowote anaweza kua kama Hamida Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mahenye

    Natafuta mume

    Zesh, Ukikosa kabisaaaa niambie mm. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mahenye

    Natafuta rafiki wa kike

    135 cry, Sifa hizo moja sina sijasoma kabisaa.zaid ya darasa la saba.vp sikufai?? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Mahenye

    Ananitangaza natembea na Mkewe

    Muulize Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Mahenye

    Naomba kuongea na wanawake wenzangu ambao wapo kwenye ndoa na ambao mna matarajio ya kuja kuolewa

    Sasa ww nimke wa mtu inakuaje uwe na marafik wa kiume wengi kuliko wa kike?? Yaan na mumeo kakuruhusu tu!! Mama hapo inaonekana kabisa mumeo hukupend .ila ushaur wako nimzur kwa wadada naiman wameuelewa na wameupenda na waufanyie kaz sasa[emoji38][emoji38] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Mahenye

    Wakuu kweli hapa nina mke ?

    Huna mke mke hapo ndugu.maana mwanamke aliyoko kwenye ndoa ni kosa kubwa kugawa namba hovyo au ni mfanya biashar anawapa namba wafanya biashar wenzie?? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Mahenye

    Mahindra ya kuhongwa isikutie kiburi mkuu

    MAGALLAH R, Atajuta siku akitumbuliwa huyo bwana ake wa NIDA[emoji38][emoji38] Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Mahenye

    Siku hizi kuna trend ya wanawake wengi kukimbia waume zao wa ndoa, shida ni nini?

    AlphaMale, Hawasuguriw vizur.na wanaume tuache kura chips yai tena mayai ya kisasa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Mahenye

    Nifanyeje nirudi chumbani kwangu?

    Huyo ni mumeo mwombe msamaha atakwelewa tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Mahenye

    Huyu mdada wa Dar atanifelisha michongo

    Ushaur wangu nikwamba najua unampenda hasa huyo mwanamke ,lkn jaribu kua nae Makin inavyo onekana huyo mwanamke kwanza ni mtu wa starehe sanaaa.sasa usije kuthubut ukauza hiyo nyumba eti kisa tu kasema mkajenge dar.pambana pata pesa kajenge anakotaka lkn nyumba ya huko mikoan usithubut kuuza...
Back
Top Bottom